Waif ananilazimisha kutumia tigo

Waif ananilazimisha kutumia tigo

tigo kazi kweli kuinga watanzania tuko juu inaonfkana kaangalia picha za ngono na leo hii ndio anata kujaribu mpe mpole
 
Wana jf habari zenu hongereni kwa mwaka mpya 2013. Leo kuna kitu nataka mnisaidie ni hivi kuna rafiki yangu kaniambia eti mke wake anamlazimisha wafanye mapenzi kinyume na maumbile japo yeye mume hataki mke anaonyesha hasira na kumtishia kwamba atamshtaki kwa baba yake kuwa yeye ndio anamlazimisha afanye kinyume na maumbile.

Maana yake ili waachane sasa jamaa yuko njia panda hajui afanyeje kwani yeye ni mtu wa dini sana. Akisema amle TIGO ni dhambi akimwacha anashtakiwa kwa wakwe sasa hajui afanyeje yuk



Haache hizo,mtu wa dini sana kivipi,mzushi tu.........kama angekuwa mtu wa dini hata huyo wife wake asingethubutu kumtamkia madubwashina hayo!........hiii ni chit chat tu.......sema kwakuwa wazeee tuko barza wacha tupoteze wakti
 
Wana jf habari zenu hongereni kwa mwaka mpya 2013. Leo kuna kitu nataka mnisaidie ni hivi kuna rafiki yangu kaniambia eti mke wake anamlazimisha wafanye mapenzi kinyume na maumbile japo yeye mume hataki mke anaonyesha hasira na kumtishia kwamba atamshtaki kwa baba yake kuwa yeye ndio anamlazimisha afanye kinyume na maumbile.

Maana yake ili waachane sasa jamaa yuko njia panda hajui afanyeje kwani yeye ni mtu wa dini sana. Akisema amle TIGO ni dhambi akimwacha anashtakiwa kwa wakwe sasa hajui afanyeje yuk

Akae naye amweleze madhara ya huo mchezo,
Akikomaa ampe lakini kwa kutumia ndomu!
Mtoto akililia wembe mpe!
 
Aaa huyo rafiki yako ameisha kula Tigo, kama hapendi mchezo huo anaogopa nini akishtakiwa.

Uliona wapi mtu si mwizi akaogopa Police.


Nani asiyeogopa polisi...? polisi wenyewe wa Bongo hawa..wanaweza kukushikisha Bangi, ikala kwako....Polisi nouma...
 
Huyo mwanamke inaonyesha alishakuwa mzoefu kabla hajaolewa
Hivi alichomoa kotoka yale maeneo yetu yelee..n.k
 
usituletee stori hizo wee au ni wewe lakini hutaki kuongea ukweli
 
Bora ale tu hiyo 0655 maana asipokula watamsaidia wenzie na pia huyo mwanamke ni mkweli na jasiri kwa kumueleza mumewe panapomkuna
 
Mkubwa hatishiwi nyau......! Aende tu kushtaki,kwanza ambane aeleze hiyo tabia chafu kaitoa wapi? Ametoa huko nje we sasa kaona ufiraun wake aulete ndani ili asingizie kwmb mume wake kamuharibu!!
 
bro kwani umezaa naye,kama hujazaa naye achana naye wanawake wapo wengi 2 wacotaka kuliwa tigo
 
Laana hii. Mke akilazimisha tigo anapata talaka papo kwa papo, hakuna mswalie mtume. mwambie jamaa yako afanye uamuzi mgumu.
 
Ampeleke kwa waarabu wakamfundishe maana wao wanapiga mpaka inatokea kwenye voda.
 
Madhara ya wanawake wanaoshinda kwenye TV. Mara nyingi wanajifunza ujinga na kuiga upumbavu.
Huyu jamaa ana zaidi ya tatizo moja - 1.Mkewe hamsikilizi 2. Jamaa hamjui mkewe 3. Kinachovunja ndoa sio mke kutaka TIGO, la hasha! Kinachovunja ndoa ni kuwa Mke mjinga!
 
huyo alishawah kumla tigo mkewe, kamzoesha halaf saiz hataki, kama kwel jamaa hapend mwanamke asingekuwa na ujasiri wa kumlazimisha mmewe kufanya huo uchafu! Mi mke wng akinambia huo usenge natoa taraka 12 hapo hapo sitaki ujinga mimi, coz lazma kuna mtu ashamla so anajua utam wake
 
Wana jf habari zenu hongereni kwa mwaka mpya 2013. Leo kuna kitu nataka mnisaidie ni hivi kuna rafiki yangu kaniambia eti mke wake anamlazimisha wafanye mapenzi kinyume na maumbile japo yeye mume hataki mke anaonyesha hasira na kumtishia kwamba atamshtaki kwa baba yake kuwa yeye ndio anamlazimisha afanye kinyume na maumbile.

Maana yake ili waachane sasa jamaa yuko njia panda hajui afanyeje kwani yeye ni mtu wa dini sana. Akisema amle TIGO ni dhambi akimwacha anashtakiwa kwa wakwe sasa hajui afanyeje yuk

...Naona kichwa cha uzi chaonyesha ni wewe ndo wife anakulazimisha kula TIGO, lakini kwenye uzi wenyewe unasema rafikiyo, tuelewe vipi sasa?????????????
 
aile tu hyo tgo mapema kabla ajaipeleka nje,kipya kina utamu wake ndgu..
 
Hapo hakuna mke, hata mume akikataa mke atatafuta mtu wa kumfanyia hio kitu.
 
Back
Top Bottom