Recent content by la cezz

  1. la cezz

    Gari yako ya kwanza ulinunua ukiwa na umri gani?

    27yrs nimeanza kumiliki gari yangu
  2. la cezz

    Nahitaji msaada wenu ndugu zangu katika ili swala

    Pole sana mkuu songa mbele utapata wa kwako usikate tamaa.
  3. la cezz

    Kila nikiona Yanga inacheza Match ya kimataifa hua inanikumbusha Fainali ya UEFA Msimu wa 2007/2008

    Timu yenye washabiki 40 million kati ya watanzania 60 million inaongozaje kuchukiwa? Au hadi mashabiki wa yanga pia wanaichukia timu yao?
  4. la cezz

    Uwezo wa Yanga CAFCL ni mdogo sana inabidi wajipange vyema

    Wydad ni bingwa mtetezi wa kombe gani? Ukute ww ndio mbumbumbu og.
  5. la cezz

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Ngoja nikuweke sawa hapa. Hizi hizi local beer zipo ambazo chupa unatumia peke yako na haioshwi. Local beer kuna aina mbili 1. Returnable hizi zinakuwa kwenye kreti na zinapatikana sehemu nyingi tu za starehe na huwa zinarudi kiwandani kuoshwa. 2. Non returnable hizi zinauzwa kwenye maboksi...
  6. la cezz

    Jiandaeni kisaikolojia kushuhudia haya kwenye mchezo wa Tanzania prisons vs Simba SC

    "Mwisho wa dakika 90 Simba sc wataondoka na pointi tatu muhimu haijalishi wamezipata vipi. " Hiyo sentensi ya mwisho ndio muhimu. Hivyo vingine vinadhihirisha utopolo wako. Wito wangu ni 'tengeneza timu bora upate ushindi kataa makasiriko/malalamiko'
  7. la cezz

    FT: NBC Premier League: Kagera Sugar 1 - 1 Namungo FC | Kaitaba Stadium

    Hata mm nimeshindwa kuwaelewa wachambuzi wetu ile ni clear offside. Ndio maana hata erasto alinyoosha mkono. Sema ndio hivyo soka letu hadi fulani aseme ndio watu waamini.
  8. la cezz

    Juma Nature kama muziki umekushinda tafuta kazi nyingine, usichafue watu

    Mtu mzima yeyote anajua kitu anachofanya na anachohitaji hivyo huwezi mpangia mtu afanye utakavyo ww bila ridhaa yake. Acha aishi na misimamo yake
  9. la cezz

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    R.I.P mzee Pama mbele yako nyuma yetu.
  10. la cezz

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Utakuwa mshabiki wa Arsenal kama sijakosea
  11. la cezz

    Kwanini tatoo ni ngumu sana kufutika?

    Siku zote pepo hatokagi kirahisi
Back
Top Bottom