Tecno simu nzuri tu hata kama hazina ubora wa Samsung na nyinginezo, pia zinawasaidia sana watanzania japo wale wanaotumia high end devices wanaponda kila siku na kuzusha maneno without any evidence.
Na pia inasikitisha watu kureview simu za tecno kimtazamo tu bila kufanya research ya kutosha
LEGE,
Mkuu mm nafikiri ukubwa wa combustion chamber una matter sana, kwa mfano gari yenye cc 2000 inahitaji mafuta mengi na hewa ili iweze kutengeneza mlipuko wenye nguvu zaidi kuliko gari yenye cc 900 ambayo combustion chamber ni ndogo.
Pia ukipunguza uingiaji wa mafuta na kusababisha hewa...
Si kweli, mi ninavyocomment usifikiri sielewi ninachozungumza, IT ni proffesion yangu. Vitu vingi wote tunasoma, sio kila kitu tumetumia au tunamiliki.
Source ni ibmtimes.co.uk, mm sijasema ni revolutionary lakini nmekwambia imekua implemented tofauti na kampuni nyngne zilivyo implement b4, yaan kaka makampuni yanainvest a lot of kwa ajili ya r&d ww unasema yana tengeneza mazingira ya kucompete yasiyo na maana. You can't be serious.
Naelewa dual lens camera htc wameanza kutumia since 2014 lakini ukijaribu kusoma utaona the way huawei walivyo implement kwenye p9 ni tofauti. Na ina performance kubwa hata kukiwa na mwanga kidogo. "It can capture 90% more light than the Samsung Galaxy S7 and a whopping 270% more than the iPhone 6S"
Mkuu ungejibu kwa hekima kidogo, dogo hakuhack aliedit tu, je na ww tukokosoe hash hivyo hivyo? Sio kila unachojua ww wote wanajua... Tupeana maarifa ila sio kwa style hiyo aisee
To conclude without evidence is a critical mistake... Binafsi napenda kufanya benchmarking ya performance za simu nazokua nazo, nimewahi kuwa na tecno j7 na h6 lakini specs zilizo ainishwa na tecno ziliwiana pia kwenye benchmarking software kama antutu
CTE="Ilisolokobwe, post: 15911058, member: 159921"]tecno na itel magumashi sana ndio maana hawatambuliki gsmarena.hata ukiinstal cpuz ktk simu hizi utaambiwa unknown manufacture sasa kama mtengenezaji hajulikani kwa nn watu wanakurupuka sana na hizi akina tecno?nunueni simu zenye viwango mfaidi...
Kabla ya cmu janja...
Siemen c35
Nokia 3310 jeneza
Motorola c350
Nokia 2100
Nokia 3100
Sendo s50*
Nokia 1100
Nokia 6030
Nokia 6630
Siemens C70
Nokia 2630
Samsung s3653
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.