Chamalama
Senior Member
- Dec 12, 2010
- 131
- 44
Hivi kwa nini watu wakisikia jina la galaxy wanaingiwa na woga wa bei? Galaxy ziko nyingi, ila pia si lazima ununue galaxy. Zipo simu nyingine.Hivi kweli unategemea asilimia 80 ya watanzania wanaoishi vijijini watumie Samsung Galaxy or the like? Waweza pia kutusaidia watanzania wenzako hizo athari za kiafya ni zipi?
Kabla hamjanunua TECNO zenu fanyeni kwanza window shopping, kuna simu nzuri zaidi ya hizo TECNO mnazonunua na zinauzwa bei nafuu zaidi ya hizo TECNO mnazonunua.