Mnajua? You kenyans really amuse us. Mnakimbia kwenu kutafuta kazi kwetu na even can never produce enough to feed yourselves... You buy from us, you smell kitu kidogo hadi kitu yoote everyplace, mnajibagua mpaka mnatia huruma halafu mnataka tuongee...HEBU FANYENI KAZI MUIJENGE NCHI YENU...
Ushamla tayari huyo shori. Sasa panga nini cha kufanya. Kama unaona anafaa then songa mbele uhalalishe. Lakini usipofanya hivyo walai humo ndani utapigwa kesi ya kisenge na itakutafuna kwa muda mrefu sana... Utachunwa mbaya...na hutachomoa maana ulishamnanilii demu
JKT IBAKI.. wengi humu tumepitia huko na hatujawa wahalifu... Suala la Kibiti au mambo mengine ya kihalifu hayahusiani na mafunzo ya JKT. JKT ni JKT na kasheshe za huko kibiti ni suala lingine
Ndugu. Hili ni suala la kiroho.. Una demon ambaye is your spiritual wife. Sasa kuiondoa hiyo nenda kwenye kanisa linalofanya huduma za maombezi ili huyo jini mahaba akutoke. Otherwise kuna athari nyingine nyingi ambazo atakusababishia. Mpinge mapema kwa maombi na kufunga.
Tuache siasa misibani... its a bullshit kuamsha tofauti na hisia za misingi ya kisiasa kwenye vifo. Itaonekana as if kuna watu wanafurahia kitu ambcho ni ujinga wa ajabu!!!! Tufanye lililo faraja. Huo ndo uungwana.
Tuelewe tu kwamba kuna existence ya dunia ya kiroho.. Ile ambayo si ya kimwili au kwa akili zetu za kawaida. There are two worlds ambazo tunaishi nazo.. Huu ulimwengu tunaouona na kujumuika nao kiuhalisia.. Lakini kuna ulimwengu wa kiroho ambao ndio upo in background unaodictacte haya yote...
Nadhani tupate concrete info kabla hatujaanza kuhukumu. Ni ushauri wangu. Haifai kumhukumu mtu... whether ni mtumishi wa Mungu au la... mpaka pale tunapokuwa na ushahidi tosha. Hawa watumishi wa Mungu nao hushambuliwa sana na ile roho pingamizi kupitia utaratibu huu. Let us be a bit Romans...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.