Ni jambo la kushangaza sana tena sana taasisi ya uma VETA kuendeshwa kama kampuni ya mtu binafsi, yapata sasa miaka ishiri imetimia toka taasisi hii ya uma ianzishwe lakini hadi sasa hakuna kitu kinachoitwa Scheme of Service kwenye taasisi hiyo. wahusika naomba watupie macho taasisi hii na...
Hali ni tete katika chuo cha ufundi veta Dsm, kunauwezekano wa wanafunzi kupatwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na maji machafu ya chooni kutiririka ovyo kwenye mazingira ya chuo
Inasikitisha sana kuona watu wanamtukana jaji Warioba kwa sababa tu hawaafiki yale yaliyomo ndani ya rasimu ya katiba, ukiangalia kwa undani utaona watu wanaodiriki kutoa maneno ya kashifa kwa tume ya Warioba ni watu ambao hata kufikiri kwao ni kudogo sana, tume ya Warioba ilijaa watu wenye...
Nijambo anbalo halipingiki kuwa Zanzibar inaserikali mbili wakati Tanganyika ina Serikali Moja kwa katiba hii tuliyonayo.
Zanzibar ina Baraza la wawakilishi ambalo linashughulikia mamabo ambayo siyo ya muungano wakati huohuo wana wabunge wa Muungano ambao wanashughulikia mambo ya Muungano...
Barabara ya Morogoro toka Kimara kuja mjini imekuwa ni kero kwa watumiaji, kwa muda mrefu sasa. Ujenzi unaoendelea kwenye barabara hiyo umesababisha usumbufu mkubwa sana kiasi cha kuwafanya watu watumie masaa matatu hadi manne kufika posta au kariakoo.
Naomba viongozi wanao husika waliangalie...
Ni jambo la kusikitisha kuona viongozi(watawala) wa juu wa nchii hii wakikaa kimya bila kutoa tamko lolote kuhusu kifo cha mwandishi wa habari Daudi Mwangosi kama vile hakuna jambo lolote lililotokea la kutia majonzi, huku wakiendelea na shughuli zao kama kawaida. je wananchi tutawaelewa vipi...
Tumekuwa na tume nyingi hapa nchini ambazo hazina mrejesho nyuma kwa kipindi kirefu, hivyo sioni ajabu kuwa hii tume kuwa kiini macho tu, na imepewa muda mrefu wa siku 30 ili watu wasahau yaliyotokea. "HAKI ITATAWALA DUNIA UDHARIMU UTASHINDWA" Hata wajifiche vipi Mungu anawajua waliotenda jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.