Naunga mkono ,mleta mada yuko sahihi, wanawake wengi wa kisasa hawana mambo mengi, wanajua kuwa lengo lako kwake ni sex,hayo ya kusubirishwa muda mrefu ka unasomea upadri au udaktari wameachana nayo,upewe siku hiyo hiyo mliokutana for first time au baadae bado tendo ni lilelile.
Naona kuna...
Huyu mleta thread hakuwahi kuridhika na jinsia yake,amekuwa akilalamika mara nyingi kuwa hapendi kufanya mapenzi.
Ameona haitoshi kaamua kuhasi kabisa na kubadili id toka Red-me to Binti tz,tayari ameshaaga mashindano
Hii reply nimei copy nikaidownload nimeiprint na kuiwekea lamination kabisa ina ujazo wa tani milion kadhaa.
Dunia ikiwa na watu wengi wenye mtazamo chanya kama wako haya mauaji ya kijinga yatokanayo na wivu wa mapenzi yasingekuwepo kabisa. Una nafasi yako peponi mkuu
Tanzania nzima ni masikini, unadhani hata huo mkoa wa kwanza kiuchumi unadhani wana nini cha ziada kuwazidi hao wa mwisho? ,suala la ngono ni pana sana na haliko applicable kwenye huu mjadala ,
Ulifanya nao ngono wangapi hadi uhitimishe kuwa wote wako hivo? Umewalinganisha na makabila mangapi...
Watanzania wengi sijui hii chuki dhidi ya wahaya mliambukizwa na nani? Wahaya ukishajua jinsi ya kuishi nao ni watu wazuri sana, hakuna kabila ambalo limekamilika kwa kila kitu ambacho kitamfurahisha kila mtu.
Hizo sifa na tambo zinazowakera nyie ndo mnazikuza kuliko uhalisia, wao wanazipend
a...
Nadhani hujawahi fika au kuishi mkoa wa Kagera, aliyekwambia huko kuna maisha ya shida na ndo yanachangia hiyo tabia ni nani? Maisha ya watanzania wengi ni almost the same,watu wengi vipato vyetu ni kwa ajili ya matumizi ya kila siku,akiba ni kidogo sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.