Za usiku huu wakuu,
Mchambuzi nguli wa masuala ya kisiasa nchini Tanzania, Gwandumi Mwakatobe, amefariki dunia. Mazishi yake yamepangwa kufanyika siku ya Jumanne mjini Sumbawanga
Binafsi nimekuwa nikifatilia uchambuzi wake kwenye kipindi cha maoni mbele ya mawazo ya meza ya duara kupitia DW...
Unawaza tu matako,inaonekana unayo mazuri sana,nina mke mmoja ananitosha sihitaji wa pili,tafuta mme kilaza mwenzio akuoe .We ni takataka kama takataka nyingine
Unaongelea ile iliyokuwa barabara ishukayo uwanja wa mbuzi? Ka ni hiyo ilikuwa na vibe sana,naona imegeuzwa kuwa day care. Just imagine investment yote ile inapotea hivi
Hii thread ni copy and paste toka kwa Joseph Mlindoko yule jamaa anajiita mchokonozi, iangalie kwenye Facebook page yake, nashangaa kuona mleta thread amesshindwa kutoa credit kwa mwenye nayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.