Tanzania nzima ni masikini, unadhani hata huo mkoa wa kwanza kiuchumi unadhani wana nini cha ziada kuwazidi hao wa mwisho? ,suala la ngono ni pana sana na haliko applicable kwenye huu mjadala ,
Ulifanya nao ngono wangapi hadi uhitimishe kuwa wote wako hivo? Umewalinganisha na makabila mangapi...
Watanzania wengi sijui hii chuki dhidi ya wahaya mliambukizwa na nani? Wahaya ukishajua jinsi ya kuishi nao ni watu wazuri sana, hakuna kabila ambalo limekamilika kwa kila kitu ambacho kitamfurahisha kila mtu.
Hizo sifa na tambo zinazowakera nyie ndo mnazikuza kuliko uhalisia, wao wanazipend
a...
Nadhani hujawahi fika au kuishi mkoa wa Kagera, aliyekwambia huko kuna maisha ya shida na ndo yanachangia hiyo tabia ni nani? Maisha ya watanzania wengi ni almost the same,watu wengi vipato vyetu ni kwa ajili ya matumizi ya kila siku,akiba ni kidogo sana
Uko sahihi kabisa mkuu,mi nshawahi fukuzwa kazi kwa kosa la kusingiziwa,sikuwahi fanya kosa hilo,cha kuumiza zaidi almost my fellow staff members walifurahi kufukuzwa kwangu,hilo jambo limeniathiri sana mpaka leo sipendi kuajiriwa sehemu kuliko na watu wengi,angalau tuwe wawili au watatu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.