Recent content by KyemanaMugaza

  1. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Hakuna "Mimi" Wala "Wewe": Spiritual awakening(non-duality)

    Hii thread iko too complicated to be understood to many jf members ndo maana wachangiaji wakuu ni hao hao wawili,binafsi hata mi sijui inahusu nini
  2. KyemanaMugaza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume kama sio lazima usimfanyie hiki kitu Mke wako

    Huyu ni muhaya wa huko Bukoba vijijini,matumizi sahihi ya irabu A na herufi H huwa ni kipengele sana kwao
  3. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Dots nilizounganisha kuhusu uwepo wa gaidi Abu Ubaydah Al Banshiri kwenye ajali ya MV Bukoba

    Asante sana kwa ufafanuzi mzuri, nimejifunza mengi kupitia maelezo haya,Tuko pamoja chief
  4. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Dots nilizounganisha kuhusu uwepo wa gaidi Abu Ubaydah Al Banshiri kwenye ajali ya MV Bukoba

    Kwa kumbukumbu zangu hizo balozi za. Marekani zililipuliwa mwaka 1998 na meli ilizama mwaka 1996,mbona kama maelezo yako yanaleta utata mkuu?
  5. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania TANZIA Gwandumi Mwakatobe afariki dunia

    Fumbo kubwa,hayana maana
  6. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania TANZIA Gwandumi Mwakatobe afariki dunia

    Za usiku huu wakuu, Mchambuzi nguli wa masuala ya kisiasa nchini Tanzania, Gwandumi Mwakatobe, amefariki dunia. Mazishi yake yamepangwa kufanyika siku ya Jumanne mjini Sumbawanga Binafsi nimekuwa nikifatilia uchambuzi wake kwenye kipindi cha maoni mbele ya mawazo ya meza ya duara kupitia DW...
  7. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Chunusi inatokana/inasabishwa na nini? Inatibiwa/inaondolewa na nini?

    Asante kwa maelezo mazuri,sorry ndg mtaalamu naulizia dawa ya kuondoa makovu yatokanayo na chunusi
  8. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Hatari ya matumizi majina bandia,jf Rafiki yangu kafariki na alikuwa member hapa ILA sijui alikuwa anatumia jina Gani? JE sifi Leo nikifa mtajuaje?

    Unawaza tu matako,inaonekana unayo mazuri sana,nina mke mmoja ananitosha sihitaji wa pili,tafuta mme kilaza mwenzio akuoe .We ni takataka kama takataka nyingine
  9. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Hatari ya matumizi majina bandia,jf Rafiki yangu kafariki na alikuwa member hapa ILA sijui alikuwa anatumia jina Gani? JE sifi Leo nikifa mtajuaje?

    Hili ni janga la nchi nzima, watu wengi hasa vijana wakiwemo wasomi wana miandiko ya ajabu sana. Ni kama somo la mwandiko huko shuleni halipo kabisa
  10. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Namna ya kujilinda na kuwa salama unapokuwa Bar

    Nimeipata, huwa napita mara nyingi hiyo barabara kuanzia kona ya Bwiru hadi Mecco, ni pa moto sana ,bar nyingi vibe ka lote
  11. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Namna ya kujilinda na kuwa salama unapokuwa Bar

    Unaongelea ile iliyokuwa barabara ishukayo uwanja wa mbuzi? Ka ni hiyo ilikuwa na vibe sana,naona imegeuzwa kuwa day care. Just imagine investment yote ile inapotea hivi
  12. KyemanaMugaza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuoa kwa hii karne hamna faida yoyote. Ni hasara tupu!

    Faizafox
  13. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Leo nilipata off kazini na nikawa napiga stori na dereva boda. Akanisimulia jinsi UKIMWI unatembea kimya kimya ila kwa kasi kwenye mji wetu. Inatisha!

    Kamachumu kijiji gani kimewaka chote?Mi mwenyeji wa huko na kwa sasa niko huko
  14. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Kwa maana halisi, comment si maneno yanayowekwa chini ya post. Kisaikolojia Comment ni kipimo cha ustaarabu wa akili ya anaye comment

    Huyu mleta thread namfahamu vizuri, ni home boy hivo sio Mrindoko
  15. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Kwa maana halisi, comment si maneno yanayowekwa chini ya post. Kisaikolojia Comment ni kipimo cha ustaarabu wa akili ya anaye comment

    Hii thread ni copy and paste toka kwa Joseph Mlindoko yule jamaa anajiita mchokonozi, iangalie kwenye Facebook page yake, nashangaa kuona mleta thread amesshindwa kutoa credit kwa mwenye nayo
Back
Top Bottom