Recent content by KyemanaMugaza

  1. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Mambo ambayo mwanaume akifanya Mwanza/ Usukumani, jamii yote itamshangaa

    Bila shaka ni mkoa wa Kagera
  2. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanapenda kuombwa tendo siku ya kwanza unayokutana naye, unakuta wengine wamechangamka wanakupa siku hiyo hiyo

    Naunga mkono ,mleta mada yuko sahihi, wanawake wengi wa kisasa hawana mambo mengi, wanajua kuwa lengo lako kwake ni sex,hayo ya kusubirishwa muda mrefu ka unasomea upadri au udaktari wameachana nayo,upewe siku hiyo hiyo mliokutana for first time au baadae bado tendo ni lilelile. Naona kuna...
  3. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania SEKIONE KITOJO:- SAUTI ILIYOACHA ALAMA KATIKA HISTORIA YA UTANGAZAJI TANZANIA

    Ashatangulia mbele ya haki,hii ardhi imemeza watu wengi sana
  4. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Safari yangu ya uasi!

    Huyu mleta thread hakuwahi kuridhika na jinsia yake,amekuwa akilalamika mara nyingi kuwa hapendi kufanya mapenzi. Ameona haitoshi kaamua kuhasi kabisa na kubadili id toka Red-me to Binti tz,tayari ameshaaga mashindano
  5. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania KERO Responded MWAUWASA imekuwa jipu lisilotumbulika, Nyamagana - Mwanza ni mwezi sasa hatuna maji

    Hii mamlaka bora ifutwe kabisa, haina tija yoyote, hayo maeneo uliyotaja yamekuwa sugu kwa ukosefu wa maji,tunateseka sana sisi watumiaji wa maji
  6. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Unajua huwa inakuwaje ukioa mwanamke aliyekutana naye akiwa ashatumika?

    Hii reply nimei copy nikaidownload nimeiprint na kuiwekea lamination kabisa ina ujazo wa tani milion kadhaa. Dunia ikiwa na watu wengi wenye mtazamo chanya kama wako haya mauaji ya kijinga yatokanayo na wivu wa mapenzi yasingekuwepo kabisa. Una nafasi yako peponi mkuu
  7. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Isaya Yunge, Kijana wa Kisukuma, mzaliwa wa Mwanza na mtaalamu wa IT anayemwoa binti wa Rais Ruto

    Umenikumbusha mitaa ya Nyalikungu,Isandula, Mahengo,Itumbili, Uwanja wa Sababa,Ihimbili, Kipeja,Nguzo mbili(bumps) n.k enzi hizo naishi Magu
  8. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Kumbe yasemwayo kuhusu wahaya ni ukweli?

    Tanzania nzima ni masikini, unadhani hata huo mkoa wa kwanza kiuchumi unadhani wana nini cha ziada kuwazidi hao wa mwisho? ,suala la ngono ni pana sana na haliko applicable kwenye huu mjadala , Ulifanya nao ngono wangapi hadi uhitimishe kuwa wote wako hivo? Umewalinganisha na makabila mangapi...
  9. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Kumbe yasemwayo kuhusu wahaya ni ukweli?

    Imekuwa too much mkuu, tabia nyingi mbaya wanaangushiwa wahaya miaka nenda rudi,
  10. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Kumbe yasemwayo kuhusu wahaya ni ukweli?

    Watanzania wengi sijui hii chuki dhidi ya wahaya mliambukizwa na nani? Wahaya ukishajua jinsi ya kuishi nao ni watu wazuri sana, hakuna kabila ambalo limekamilika kwa kila kitu ambacho kitamfurahisha kila mtu. Hizo sifa na tambo zinazowakera nyie ndo mnazikuza kuliko uhalisia, wao wanazipend a...
  11. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Kumbe yasemwayo kuhusu wahaya ni ukweli?

    Nadhani hujawahi fika au kuishi mkoa wa Kagera, aliyekwambia huko kuna maisha ya shida na ndo yanachangia hiyo tabia ni nani? Maisha ya watanzania wengi ni almost the same,watu wengi vipato vyetu ni kwa ajili ya matumizi ya kila siku,akiba ni kidogo sana
  12. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Nchi za Afrika zinazoongoza kwa kuchubua Ngozi (Skin Bleaching)

    Hata mi nimeshangaa,hata DR Congo(Kinshasa) haimo top ten ,hii list ni feki
  13. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Swali: Dunia bila Mwanaume je nani angemlinda Mwanamke?

    Take it easy, just joke,kuwa na siku njema
  14. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Swali: Dunia bila Mwanaume je nani angemlinda Mwanamke?

    Unahitaji
Back
Top Bottom