Recent content by KyemanaMugaza

  1. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Isaya Yunge, Kijana wa Kisukuma, mzaliwa wa Mwanza na mtaalamu wa IT anayemwoa binti wa Rais Ruto

    Umenikumbusha mitaa ya Nyalikungu,Isandula, Mahengo,Itumbili, Uwanja wa Sababa,Ihimbili, Kipeja,Nguzo mbili(bumps) n.k enzi hizo naishi Magu
  2. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Kumbe yasemwayo kuhusu wahaya ni ukweli?

    Tanzania nzima ni masikini, unadhani hata huo mkoa wa kwanza kiuchumi unadhani wana nini cha ziada kuwazidi hao wa mwisho? ,suala la ngono ni pana sana na haliko applicable kwenye huu mjadala , Ulifanya nao ngono wangapi hadi uhitimishe kuwa wote wako hivo? Umewalinganisha na makabila mangapi...
  3. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Kumbe yasemwayo kuhusu wahaya ni ukweli?

    Imekuwa too much mkuu, tabia nyingi mbaya wanaangushiwa wahaya miaka nenda rudi,
  4. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Kumbe yasemwayo kuhusu wahaya ni ukweli?

    Watanzania wengi sijui hii chuki dhidi ya wahaya mliambukizwa na nani? Wahaya ukishajua jinsi ya kuishi nao ni watu wazuri sana, hakuna kabila ambalo limekamilika kwa kila kitu ambacho kitamfurahisha kila mtu. Hizo sifa na tambo zinazowakera nyie ndo mnazikuza kuliko uhalisia, wao wanazipend a...
  5. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Kumbe yasemwayo kuhusu wahaya ni ukweli?

    Nadhani hujawahi fika au kuishi mkoa wa Kagera, aliyekwambia huko kuna maisha ya shida na ndo yanachangia hiyo tabia ni nani? Maisha ya watanzania wengi ni almost the same,watu wengi vipato vyetu ni kwa ajili ya matumizi ya kila siku,akiba ni kidogo sana
  6. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Nchi za Afrika zinazoongoza kwa kuchubua Ngozi (Skin Bleaching)

    Hata mi nimeshangaa,hata DR Congo(Kinshasa) haimo top ten ,hii list ni feki
  7. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Swali: Dunia bila Mwanaume je nani angemlinda Mwanamke?

    Take it easy, just joke,kuwa na siku njema
  8. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Swali: Dunia bila Mwanaume je nani angemlinda Mwanamke?

    Unahitaji
  9. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Swali: Dunia bila Mwanaume je nani angemlinda Mwanamke?

    Njoo inbox, mi pia nataka mke
  10. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Old school members wa JF, karibuni tukumbukane kwenye uzi huu. Gathering nights @leo tuko hapa and Kebbys Hotel

    Humble African Mseza mkulu Barafu Barafu ya moto Mussa Allan Mbitiyaza Ole saidimu The Boss Sky eclat
  11. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Najuta kujiunga na jeshi la polisi

    Unavulia Mwanza sehemu gani mkuu?
  12. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania KERO Ujanja wa Mawakala wa usajili wa line umezidi, haki za Wateja ziheshimiwe

    Hao kamisheni yao inalipwa kulingana na Idadi ya namba mpya anazosajili,kama sikosei ni elf 10 kwa kila namba moja mpya
  13. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Msaada wenu tafadhali kama una stress don't comment. Nahitaji ushauri

    Uko sahihi kabisa mkuu,mi nshawahi fukuzwa kazi kwa kosa la kusingiziwa,sikuwahi fanya kosa hilo,cha kuumiza zaidi almost my fellow staff members walifurahi kufukuzwa kwangu,hilo jambo limeniathiri sana mpaka leo sipendi kuajiriwa sehemu kuliko na watu wengi,angalau tuwe wawili au watatu...
  14. KyemanaMugaza

    JamiiForums Tanzania Ebu tujitengezee wenyewe miaka 30 ya bongoflava ya JF. Tujikumbushie mangoma, mastori na moments

    Asante sana mkuu kwa masahihisho
Back
Top Bottom