Recent content by Kyatile

  1. Kyatile

    Mfalme ‘akiuawa’ huwa inachukua muda mrefu sana Taifa kupona

    Nani ana hiyo moral authority ya kumtambulisha?
  2. Kyatile

    Polepole ameshasahaulika, Mdude ameshasahaulika hata Lissu akitekwa na kupotezwa kelele zitapigwa kisha naye atasahaulika

    Watu wengi wasiopendezwa na yanayofanywa na CCM wanauelewa uongozi wa sasa wa CDM kasoro wale wanaounga mkono yale yanayofanywa na CCM na serikali yake.
  3. Kyatile

    Polepole ameshasahaulika, Mdude ameshasahaulika hata Lissu akitekwa na kupotezwa kelele zitapigwa kisha naye atasahaulika

    Lissu na CDM wanapaswa kuacha aina ya siasa za nguvu maana siasa za aina hiyo zinahitaji backup ya wanachi. Watanzania hawako tayari kwa siasa za mapambano. Vinginevyo watatekwa, kufungwa na kuuwawa bure na baada ya wiki tu watanzania hawajali tena kama umekufa. Dawa ni kuacha nchi iendeshwa...
  4. Kyatile

    Ushauri: Nahitaji kuchukua mkopo wa milioni 30 kwajili ya biashara ya mahindi

    Hakuna mfanyabiashara mwenye uzoefu unaoutaja anakuja hapa jf kuandika upuuzi ulioandika hapa
  5. Kyatile

    Jinsi ya kutoboa kupitia biashara ya mazao (nafaka)

    Wazee wa spoon feeding mpo mpaka JF
  6. Kyatile

    Ipi simu bora kati ya iphone 12 pro na Samsung Galaxy A35 mwaka huu 2025?

    Lakini hii ni iphone ya miaka mitatu nyuma wakati A35 ni recent version
  7. Kyatile

    Ipi simu bora kati ya iphone 12 pro na Samsung Galaxy A35 mwaka huu 2025?

    Na Leo si kuzishindanisha bali kujua ubora ktk maeneo hayo kabla ya kufanya maamuzi
  8. Kyatile

    Ipi simu bora kati ya iphone 12 pro na Samsung Galaxy A35 mwaka huu 2025?

    Leo nimeenda dukani kununua Galaxy A35 yenye storage ya 256 GB na kwa bahati mbaya sikuipata. Katika kuangaza macho nikaiona iphone 12 pro used ina battery health ya 86%. Nikavutiwa kuikagua na kweli bado ina vitu kadhaa vinavyovutia ila sikushawishika kuinunua hiyo pamoja na kuwa na bei sawa...
  9. Kyatile

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Wachezaji wanakimbia kimbia tu bila mpangilio. Hakuna mpango wa kufunga kabisa
  10. Kyatile

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    A big team becomes a small team when it starts boasting on performance over wining a match. Arsenal wacheze vizuri au vibaya lazima wapate ushindi. Hiyo ndo elite mentality tuliyoizoea Chelsea na timu zote za makombe kama Madrid. Madrid wamekuwa na project ila wanashinda makombe kwa sababu...
  11. Kyatile

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Acheni kutetea vitu vyo ovyo. Unahitaji matokeo elite strikers akipata nafasi inapswa kuwa goli. Hakuna namna ya kumtetea huyo Jackson. Bado ni mchanga sana
  12. Kyatile

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Sanchez ni kichekesho
  13. Kyatile

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ndugu uwe unaangakia mpira aisee.
  14. Kyatile

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Colwil? Aisee
Back
Top Bottom