Na aliposema "tumeamka vizuri" hukuelewa? Katika logic hakikisha statement zote ziko kwenye harmony. Ukiona sentensi zote hazipo kwenye harmony something is wrong.
Na aliposema "tumeamka vizuri" hukuelewa? Katika logic hakikisha statement zote ziko kwenye harmony. Ukiona sentensi zote hazipo kwenye harmony something is wrong.
Ana akili gani? Huyonl ni mtoto mdogo na hajui chochote. Unapoanza jambo productive usifikiri mambo yatakuwa mteremko. Hata unapozaa watoto utashangaa wengine wanakuwa na tabia za hovyo na hiyo haimaanishh kuwa kuwa na watoto ni jambo baya. Lazima uwe na mipango ya kumitigate matatizo yanapotokea
Moja ya sababu inawafanya iphone users kuendelea kununua iphones ni ecosystem( kumbuka hapa simaanishi hawa wanaonunua iphone for showoffs). Ukiwa na Macbook, iphone na buds ni vigumu kuacha kununua iphone. Hizo device zinafanya kazi pamoja kwa ufanisi zaidi. Tofauti na simu kama samsung...
Apple wanakuwa wa mwisho kwenye kuadapt features mpya ila wanapokuja na hizo features wanazifanya ziwe bora 10 times. Mfano anagalia Face ID imekuja around 2018 wakati android ipo muda mrefu, sasa linganisha efficiency yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.