Watu wengi wasiopendezwa na yanayofanywa na CCM wanauelewa uongozi wa sasa wa CDM kasoro wale wanaounga mkono yale yanayofanywa na CCM na serikali yake.
Lissu na CDM wanapaswa kuacha aina ya siasa za nguvu maana siasa za aina hiyo zinahitaji backup ya wanachi. Watanzania hawako tayari kwa siasa za mapambano.
Vinginevyo watatekwa, kufungwa na kuuwawa bure na baada ya wiki tu watanzania hawajali tena kama umekufa.
Dawa ni kuacha nchi iendeshwa...
Leo nimeenda dukani kununua Galaxy A35 yenye storage ya 256 GB na kwa bahati mbaya sikuipata.
Katika kuangaza macho nikaiona iphone 12 pro used ina battery health ya 86%. Nikavutiwa kuikagua na kweli bado ina vitu kadhaa vinavyovutia ila sikushawishika kuinunua hiyo pamoja na kuwa na bei sawa...
A big team becomes a small team when it starts boasting on performance over wining a match. Arsenal wacheze vizuri au vibaya lazima wapate ushindi. Hiyo ndo elite mentality tuliyoizoea Chelsea na timu zote za makombe kama Madrid.
Madrid wamekuwa na project ila wanashinda makombe kwa sababu...
Acheni kutetea vitu vyo ovyo. Unahitaji matokeo elite strikers akipata nafasi inapswa kuwa goli. Hakuna namna ya kumtetea huyo Jackson. Bado ni mchanga sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.