Ukisikia manabii wa uwongo , ndo Hawa ! Wote watakufa akiwemo huyo nabii wa uwongo , anaehujumiwa na wengine wote ! Kama kweli umeoneshwa hao wahujumu , kwanini umeshindwa kuwataja ?! Uoneshwe alafu unakuwa mnafiki kuwaficha ?!
Sasa unaomba ushauri wa nini wakati unampenda mchepuko kuliko mwanamke aliyeamua kuishi na wewe?!
Wanawake ni wavumilivu sana, lakini ni wataalam wa kuhesabu makosa mioyoni mwao, siku akisema "YATOSHA" hakika hageuki wala hashauriki!!
Wewe endelea na huyo mchepuko wako sababu umesema vizuri...
Yawezekana kweli umeanza dharau baada ya kupata hela kutoka na majibu ya mkato yasiyomridhisha. Kwa Maelezo yako tu, unaonekana huna lugha nzuri ya kumuelewesha mwenzio akuelewe.
Jifunze kuishi na mwanamke.
Tatizo ushazoea kula limbwata kwa Mama nitilie wa Dar na Tabora. Mikoa ya Mwanza na Mara hawana hizo, unakula chakula kwa moyo wako. Samaki watamu walioko Mwanza na Musoma hata kama hujui kupika lazima utapenda chakula. Ushazoea kupashiwa viporo vya Dar. Sababu mikoa yote hiyo tumeishi.
Mbaya zaidi wewe ni Mbunge, ulipaswa kuongea haya Bungeni. Pia kauli zenu tunazikumbuka kila siku. Kipindi cha uongozi wa Rais Kikwete, mlimdhihaki sana sana na kumuita Rais legelege, mkadiriki kusema nchi hii inahitaji Rais dictator!! Leo mnalalamikia nini?!
Mbona huongelei kilichokuondoa...
Mheshimiwa Zitto, umeongea kipinzani zaidi kuliko ukweli.
Kwa jinsi Rais alivyoongea ni kwamba ule mkataba haukusainiwa na Bunge wala waizara ya fedha, kwa maana kwamba moja kati ya hizo (Wizara ya fedha au Bunge) zingesaini huo mkataba hapo procedures zingekuwa zimefuatwa. Sio waizara...
Alichosema ni kweli Dr. Bashiru ni kweli kabisa. CCM ilikuwa ya kulindana, ilikuwa ya waovu, wema wakawa ndo wabaya. Kwa ujumla huwezi kumridhisha kila mmoja, ila ukweli utabaki pale pale. Ukizingatia kwamba wapiga dili na mafisadi kwa ujumla hawawezi kumfurahia Dr. leo, kesho na hata milele.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.