Roho inaniuma vile nahukumiwa kwa kitu ambacho sijawahi fikiria kumfanyia huyu

Poleni na majukumu wakuu,

NAHITAJI ushauri wenu Kwa hili..,Mimi nipo na mrembo wangu kwa muda Sasa alienivumilia kwa mengi na tumedumu karibun miaka miwili.ni msichana alienipenda kwa dhati na Hilo nilidhihirisha baada ya kunikuta Sina mbele Wala nyuma lakin hakujali, na hata ingetokea nina shida akajua
Pia inawezekana hiyo kununa na hivyo vimbwanga anakupima. Mweleze kwa utaratibu akizingua jua kabisa ukileta democrasia kwa wanawake wa kiafrika jiandae kuvuna mabua.
 
Kosa lako moja mkuu,humpelekei moto uyo mtoto..hio ndo shida...
We mpelekee moto tu uone kama atanuna
 
Upepo wa Pesa, tatizo lipo kwako mkuu wala si kwa huyo bi dada!

Tatizo lako umepunguza muda uliokua ukispend nae bila taarifa, pindi ulipopata kile kibarua kinachokufanya uwe bize sana, ulitakiwa kumkalisha na kumpanga, kuwa kwa sasa utakua na unaanza kuwa bize sana na kazi ila asijal, utakua unamtafta pind unapokua free, so asiwe na mashaka kwa kumpunguzia u karibu maana hiyo yote ni result ya job!!

Hawa viumbe wanakuaga na ile kasumba ya kukariri, kama ulikua unampgia sana simu, au unamchatisha sana, siku ukiacha lazma ulalamikiwe na upewe shutuma za hatari, asa kama ulimkaririsha af haujampanga, hapo kosa ni lako!

Cha msing, muite umkalishe, umpange ki ustarabu na utulivu, mueleze chanzo cha ubize wako, mtoe hofu na mashaka yake, muaminishe kuwa una malengo nae atoe hofu na akuamin, kama vip siku moja nenda nae kibaruan kwako ili aone unavyopga mzigo na unavyokua bize, mi naamin atakuelewa tu!
 
Upepo wa Pesa, tatizo lipo kwako mkuu wala si kwa huyo bi dada!

Tatizo lako umepunguza muda uliokua ukispend nae bila taarifa, pindi ulipopata kile kibarua kinachokufanya uwe bize sana, ulitakiwa kumkalisha na kumpanga, kuwa kwa sasa utakua na unaanza kuwa bize sana na kazi ila asijal, utakua unamtafta pind unapokua free, so asiwe na mashaka kwa kumpunguzia u karibu maana hiyo yote ni result ya job!!

Hawa viumbe wanakuaga na ile kasumba ya kukariri, kama ulikua unampgia sana simu, au unamchatisha sana, siku ukiacha lazma ulalamikiwe na upewe shutuma za hatari, asa kama ulimkaririsha af haujampanga, hapo kosa ni lako!

Cha msing, muite umkalishe, umpange ki ustarabu na utulivu, mueleze chanzo cha ubize wako, mtoe hofu na mashaka yake, muaminishe kuwa una malengo nae atoe hofu na akuamin, kama vip siku moja nenda nae kibaruan kwako ili aone unavyopga mzigo na unavyokua bize, mi naamin atakuelewa tu!
 
hio ni hofu tu ya mwanamke anahisi utamkimbia kisa maisha yameanza kukunyookea. kipindi huna hela alijua kabisa huna ujanja huwezi kumkimbia coz unamuhitaji yeye kama provider.

kujitegemea kunamfanya mtu awe huru sio tena mtumwa wa mtu anaemsaidia kiuchumi. neno mtumwa sio zuri ila mkuu wewe ulikua kimtumwa chake ila kwa sasa upo huru na hana nguvu tena juu yako.

mimi nnachoona hapo ni kwamba mwanamke anahisi thamani yake kwako imeshuka coz hauhitaji tena msaada wake wa kiuchumi, upo independent and you can do whateva you want.

ila sasa kama unampenda kama unavyosema jitahidi uishi nae pamoja na ufanye taratibu za kwenda kujitambulisha kwao ili umpunguze presha maana ana presha kweli anaogopa kuibiwa tunda wakati tunda kalikuza mwenyewe
 
Ina maana una mahusiano mengine ila sio serious sio??

Turudi kwa huyo mwanamke...

1. Kwanza ana wasiwasi juu ya future yake.

2. Wewe kama mwanaume unaonekana uko so soft na huaminiki (kama ulivyo sema una mahusiano mengine lakin sio serious which means una vimchepuko..)

3. Huyo mwanamke anahitaji kwanza kumwelewesha kwa utulivu wa hali ya juu kuhusu hali halisi. Yani ukiweza mletee hata zawadi ya pipi ya shilingi mia then muombe kwa utulivu mwambie unaomba umpe zawadi. Baada ya kumpa zawadi then kaa mpe A to Z, mwambie huna mchepuko na yuko peke yake na una future nae.

Maana mpaka sasa hivyo vimbwanga ni dalili ya kuchokwa.

4. Ukiangalia kwa jicho la tatu kuna uwezekano mkubwa bidada kapata dume lingine lenye mapesa, limeanza kumtokea na kumtongoza.

Pia kuna uwezekano analikomalia LAKINI AKIKUANGALIA NI KAMA HUAMININIKI (wenda una michepuko kama ulivyo sema una mahusiano mengine lakin sio serios) sasa akiona huaminiki pili bado kiuchumi hauko vizuri alafu kuna kidume chenye mapesa kinamtongoza na bado marafiki zake wanamshawishi akuache maana pesa huna lazima aanze ku question future yake.

Yani hapa hata ule uvumilivu mdogo alio kuwa nao kwako unaanza kiyeyuka taratibu! Na ndio maana unaona anakuletea hivyo vimbwanga.

Hivyo vimbwanga vina maana yake haviji tu from no where!!

(Rudia vizuri kusoma hii point ya tatu na nne na uielewe).

NB: Uandishi wako ni kitoto sana jifunze uandishi bora.
Kasema Hana mahusiano mengine

Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
 
Poleni na majukumu wakuu,

NAHITAJI ushauri wenu Kwa hili..,Mimi nipo na mrembo wangu kwa muda Sasa alienivumilia kwa mengi na tumedumu karibun miaka miwili.ni msichana alienipenda kwa dhati na Hilo nilidhihirisha baada ya kunikuta Sina mbele Wala nyuma lakin hakujali, na hata ingetokea nina shida akajua Basi Kama anauwezo wa ku cover Wala hakusita kunisaidia.nam n hivyo japo kwangu ilikua n kwa uchache sababu yeye(kwao) maisha yanaridhisha tofaut na Mimi binafsi & kwetu.Rafiki zake wengi walinijua maana baadh gheto alikua anakuja nao hata nimkataze kua ananiaibisha kutokana na jins kulivyo rafu lakn hakukoma ikabid nipoe,ikafika muda wakaanza kumsema abadilishe mwanaume me sio hadh yake Hadi sms nyng anakuja kunionyesha vile nasemwa vibaya ila tukadumu.
Kipind hicho me ni msakatonge haswaa lakn ndo hvyo Mambo hayaendi,ila kipindi hiki afadhal imeanza kuonekana angalau na ubize kidoqo umeonqezeka kwangu kwa hizihz mishe zetu za kigum.ghafla mgogoro na HUYU bibie umeanza akidai nmeanza kupat hela na dharau zimeanza kwake et najidai bize mda mwingi hata muda nae Sina hata anambie anataka kuja kwanqu Mara nyng namwambia nna kazi tunaghair hyo siku.
Ukweli upande wangu namuheshimu Sanaa na n Mara chache tunaonana Napo baadhi ya siku hata Kama nipo kwenye kibarua nalazimika nitoroke kwa ajil yake ili tu apunguze lawama,pia siwez Kila muda niwe nae maana kaz zetu hz usipoonekana kazn bas na chako huna n nguvu na akili yako ndo inakuingizia chochote,saiv amekua mtu wa kuninunia ugomvi Kila siku akidai hanielew itakuwa nmempata mwngne ninaemuheshimu kuliko yeye na sikumbuki tulipotoka na msaada wake siuon wa maana tena sababu nmeanza kujimudu angalau.. na ukwel mahusiano mengne yaliyo siriaz Sina Zaid ya kwake tu.

Nishaurin nifanyaje!!? Kwan hata nikimpigia kwa Sasa anakua na hasira anajbkua namu enjoy tu kinafki simpendi wakat c kwel(nampenda& namuheshimu)..Juzi nakutana na rafk ake ananichana et we shem mbona huna fadhila kwa shoga yangu wema wake umesahaulika!??
Mm inaniumiza Kwan pamoja na ubahr kwa huyu niliapa lazima ale matunda ya uvumilivu kwa jasho langu lakn hata nimfanyie hivyo bado naonekana najikosha.

Ushauriwe nn sasa zaidi ya kumuonyesha mapenzi mwenzio
 
hio ni hofu tu ya mwanamke anahisi utamkimbia kisa maisha yameanza kukunyookea. kipindi huna hela alijua kabisa huna ujanja huwezi kumkimbia coz unamuhitaji yeye kama provider.

kujitegemea kunamfanya mtu awe huru sio tena mtumwa wa mtu anaemsaidia kiuchumi. neno mtumwa sio zuri ila mkuu wewe ulikua kimtumwa chake ila kwa sasa upo huru na hana nguvu tena juu yako.

mimi nnachoona hapo ni kwamba mwanamke anahisi thamani yake kwako imeshuka coz hauhitaji tena msaada wake wa kiuchumi, upo independent and you can do whateva you want.

ila sasa kama unampenda kama unavyosema jitahidi uishi nae pamoja na ufanye taratibu za kwenda kujitambulisha kwao ili umpunguze presha maana ana presha kweli anaogopa kuibiwa tunda wakati tunda kalikuza mwenyewe
Huyu mwanamke anaonekana hajiamini..
 
Ni mara chache mwanaume kuishi namwanamke aliye msapoti kipindi cha msoto .Mwanaume akiweza kujikimu mara nyingi huisi atakumbushiwa saport aliyopewa hivyo hupunguza ukaribu mwishoe kuachana kabisa .Jichunguze
 
Yawezekana kweli umeanza dharau baada ya kupata hela kutoka na majibu ya mkato yasiyomridhisha. Kwa Maelezo yako tu, unaonekana huna lugha nzuri ya kumuelewesha mwenzio akuelewe.
Jifunze kuishi na mwanamke.
Umekaa ukamwambia hali halisi ww mwambie kwamba sasa mama mm napambana kwa ajiri yako tena kipindi umeshamto
 
Kukusaidia kipindi una matatizo isiwe fimbo ya kukupoka utu na Uhuru wako. Muombe muda mkae mzungumze.

Jishushe ila hakikisha katika kujishusha huko huuzi utu wako kamwe.
 
Poleni na majukumu wakuu,

NAHITAJI ushauri wenu Kwa hili..,Mimi nipo na mrembo wangu kwa muda Sasa alienivumilia kwa mengi na tumedumu karibun miaka miwili.ni msichana alienipenda kwa dhati na Hilo nilidhihirisha baada ya kunikuta Sina mbele Wala nyuma lakin hakujali, na hata ingetokea nina shida akajua Basi Kama anauwezo wa ku cover Wala hakusita kunisaidia.nam n hivyo japo kwangu ilikua n kwa uchache sababu yeye(kwao) maisha yanaridhisha tofaut na Mimi binafsi & kwetu.Rafiki zake wengi walinijua maana baadh gheto alikua anakuja nao hata nimkataze kua ananiaibisha kutokana na jins kulivyo rafu lakn hakukoma ikabid nipoe,ikafika muda wakaanza kumsema abadilishe mwanaume me sio hadh yake Hadi sms nyng anakuja kunionyesha vile nasemwa vibaya ila tukadumu.
Kipind hicho me ni msakatonge haswaa lakn ndo hvyo Mambo hayaendi,ila kipindi hiki afadhal imeanza kuonekana angalau na ubize kidoqo umeonqezeka kwangu kwa hizihz mishe zetu za kigum.ghafla mgogoro na HUYU bibie umeanza akidai nmeanza kupat hela na dharau zimeanza kwake et najidai bize mda mwingi hata muda nae Sina hata anambie anataka kuja kwanqu Mara nyng namwambia nna kazi tunaghair hyo siku.
Ukweli upande wangu namuheshimu Sanaa na n Mara chache tunaonana Napo baadhi ya siku hata Kama nipo kwenye kibarua nalazimika nitoroke kwa ajil yake ili tu apunguze lawama,pia siwez Kila muda niwe nae maana kaz zetu hz usipoonekana kazn bas na chako huna n nguvu na akili yako ndo inakuingizia chochote,saiv amekua mtu wa kuninunia ugomvi Kila siku akidai hanielew itakuwa nmempata mwngne ninaemuheshimu kuliko yeye na sikumbuki tulipotoka na msaada wake siuon wa maana tena sababu nmeanza kujimudu angalau.. na ukwel mahusiano mengne yaliyo siriaz Sina Zaid ya kwake tu.

Nishaurin nifanyaje!!? Kwan hata nikimpigia kwa Sasa anakua na hasira anajbkua namu enjoy tu kinafki simpendi wakat c kwel(nampenda& namuheshimu)..Juzi nakutana na rafk ake ananichana et we shem mbona huna fadhila kwa shoga yangu wema wake umesahaulika!??
Mm inaniumiza Kwan pamoja na ubahr kwa huyu niliapa lazima ale matunda ya uvumilivu kwa jasho langu lakn hata nimfanyie hivyo bado naonekana najikosha.
Ukiwa job a nakutafuta kama ni mahali panafikika uwe una mwambia aje ili6akuone ulivyo busy ataridhika. Na hata yeye atakuwa ankaufuatilia. As far kweli umenyooka.
 
Poleni na majukumu wakuu,

NAHITAJI ushauri wenu Kwa hili..,Mimi nipo na mrembo wangu kwa muda Sasa alienivumilia kwa mengi na tumedumu karibun miaka miwili.ni msichana alienipenda kwa dhati na Hilo nilidhihirisha baada ya kunikuta Sina mbele Wala nyuma lakin hakujali, na hata ingetokea nina shida akajua Basi Kama anauwezo wa ku cover Wala hakusita kunisaidia.nam n hivyo japo kwangu ilikua n kwa uchache sababu yeye(kwao) maisha yanaridhisha tofaut na Mimi binafsi & kwetu.Rafiki zake wengi walinijua maana baadh gheto alikua anakuja nao hata nimkataze kua ananiaibisha kutokana na jins kulivyo rafu lakn hakukoma ikabid nipoe,ikafika muda wakaanza kumsema abadilishe mwanaume me sio hadh yake Hadi sms nyng anakuja kunionyesha vile nasemwa vibaya ila tukadumu.
Kipind hicho me ni msakatonge haswaa lakn ndo hvyo Mambo hayaendi,ila kipindi hiki afadhal imeanza kuonekana angalau na ubize kidoqo umeonqezeka kwangu kwa hizihz mishe zetu za kigum.ghafla mgogoro na HUYU bibie umeanza akidai nmeanza kupat hela na dharau zimeanza kwake et najidai bize mda mwingi hata muda nae Sina hata anambie anataka kuja kwanqu Mara nyng namwambia nna kazi tunaghair hyo siku.
Ukweli upande wangu namuheshimu Sanaa na n Mara chache tunaonana Napo baadhi ya siku hata Kama nipo kwenye kibarua nalazimika nitoroke kwa ajil yake ili tu apunguze lawama,pia siwez Kila muda niwe nae maana kaz zetu hz usipoonekana kazn bas na chako huna n nguvu na akili yako ndo inakuingizia chochote,saiv amekua mtu wa kuninunia ugomvi Kila siku akidai hanielew itakuwa nmempata mwngne ninaemuheshimu kuliko yeye na sikumbuki tulipotoka na msaada wake siuon wa maana tena sababu nmeanza kujimudu angalau.. na ukwel mahusiano mengne yaliyo siriaz Sina Zaid ya kwake tu.

Nishaurin nifanyaje!!? Kwan hata nikimpigia kwa Sasa anakua na hasira anajbkua namu enjoy tu kinafki simpendi wakat c kwel(nampenda& namuheshimu)..Juzi nakutana na rafk ake ananichana et we shem mbona huna fadhila kwa shoga yangu wema wake umesahaulika!??
Mm inaniumiza Kwan pamoja na ubahr kwa huyu niliapa lazima ale matunda ya uvumilivu kwa jasho langu lakn hata nimfanyie hivyo bado naonekana najikosha.
Hapo mkuu mkalishe umwambie ratiba za mihangaiko yako na kama mna malengo yenu zaidi pinguzeni washauri hao ndio waharibifu
 
Anajua Kila kitu
Kama anajua kila kitu basi huenda kulalamika ni hulka yake

Anyway kama unaweza mvumilie huku ukiendelea kumuelewesha na kumuhakikishia vile unampenda na kuthamini mchango wake kwako

Ila asitumie fadhili zake kwako kama fimbo ya kukuchapia nayo.
 
Kama niwakishua huyu n asset kwako pambana nae mtengeneze maisha, choice is your's either uachane na asset utafute liability pasua kichwa ambayo if u'r not financially stable u'r doomed
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom