wana JF Nisaidieni kufikisha ujumbe.yupo msichana mmoja aitwaye MONICA(a.k.a.Sikitu)PETER SHAYO.Kutoka Uru Njari.kwa kuwa mwalimu wake alikuwa na imani naye alimtafutia ajira.Lakini tar.12/01/2014 alimwibia mwajiri wake kiasi kikubwa cha fedha.Alitoroka na funguo pamoja na daftari la mauzo.Kwa...
Ni jambo la kushangaza sana kuona jinsi wadau wa shirika hili wanavyoteseka wanapofuatilia mafao yao.Hivi majuzi nilistaafu kwa mujibu wa sheria lakini kufuatilia mafao yangu ni ishu kali mpaka uje kupata id card ni dillema.
Wamechapa majina tofauti,ukiwafuata rudi baada ya siku 14.
Hebu...
Neno halali na sahihi ni:KUTAWAZWA m.y.Kufanya sherehe rasmi za kumweka mtu ktk cheo cha uongozi.Hilo neno jingine linahusiana na Kupata udhu kabla ya Kuswali.
Ajiunge na shule zinazotumia syllabus ya CAMBRIDGE Kama ana re~seat,au kunyoosha cheti.Mambo yamekaa sawa kuliko NECTA.Ajaribu Mt.Kilimanjaro School iliyopo MOSHI.
Nakushauri aingie kwenye curriculum ya Cambridge.Waliokwama NECTA walikombolewa kwa Cambridge.Ninayo mifano hai lukuki.Vigogo wanakimbizia wapendwa wao CAMBRIDGE.Walala hoi wanabana NECTA.Kama utarithia na maoni yangu tuma sms kwa namba 0655223661.Tueleweshane zaidi.
Cambridge ni kiboko yao.Inakufanya uwe mahiri hasa.Mfano ENGLISH Utafanya paper 3.Oral{spoken}:Listening:na Reading and Writing.ukifanya paper kama hizo ni lazima upate kitu.Vilevile grade za Cambridge ni tofauti sana na NECTA Mfano:PRIMARY&IGCSE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.