Jambo hilo limewahi kunikuta nikiwa mwaka wa tatu chuo kimoja huko huko mbeya, niliingia na simu,smartphone kwa bahati mbaya wala sikudhamiria, wakati mtihani unaendelea alarm ilianza kuita na sms zikaanza kuingia, japo ilikuwa baridi sana lakini jasho lilinitoka hasia kwenye viganja, walimu...