Nakushangaa judi wa kikuda, sory wa kishua, unashindwa kutambua kuwa wabunge wetu wanalipwa vizuri, na kama si ufisadi na kuendekeza "mabomozi" wabunge wengi wangekuwa na mahekalu kama unayoyashangaa ya mr Sugu! Tunachokiona kwa baadhi ya wabunge wetu wanashindana kuvua zip na fumanizi za...