Mjengo wa ajabu wa Sugu Mbeya!

Mjengo wa ajabu wa Sugu Mbeya!

Mkuu King Kong III jana Le Mutuz au William Malecela aliweka nyumba hii ya sugu na nyingine mpya eti akisema kuwa mpya kaipatia katika ubunge. Kuna thread ya jana ipo utaikuta. Ila ninampongeza sana kwa maendeleo haya kuwa na nyumba mbili za maana si mchezo. Hao wanaosagia hii nawapa pole, wajenge yao halafu waseme. Big up Sugu.
 

1381556_10151664690937548_92389484_n.jpg
Hii ndiyo nyumba yake mpya William Malecela aliitoa hapa jamvini jana sambamba na hii uliyoweka hapa wewe. Tulimwambia kwa mfanyabiashara kama Sugu ni kawaida na hajategemea ubunge kujenga nyumba hii.
 
huu ndio ukombozi tunaoambiwa na hawa watu....somo nilelielewa kua hawa jamaa wakisema pipoz power kumbe hao pipoz ambao hawakutajwa ni wao wenyewe...mambo si mabaya kamanda naona umeamua kutufotelea one among many...
 
nyumba ya kawaida sana hiyo, kwa Dar haizidi millioni 40 sijui Mbeya itakuwa bei gani
 
swali la wengi ni kwamba uajabu wa nyumba ya sugu ni upi mbona ya kawaida tu..
asilimia 98 ya wapiga kura wake, wanaishi maisha ya kubangaiza tu, hawana uwezo wa kujenga nyumba kama hiyo, kama kweli ni mzalendo mpigania haki, why he did opt to build such a very prestigious house while wapiga kura wako hoi..tuwaeleweje kama mnapongezana kujenga majumba wakati mnajiita watetea walala hoi, mnatudanganya...
 
asilimia 98 ya wapiga kura wake, wanaishi maisha ya kubangaiza tu, hawana uwezo wa kujenga nyumba kama hiyo, kama kweli ni mzalendo mpigania haki, why he did opt to build such a very prestigious house while wapiga kura wako hoi..tuwaeleweje kama mnapongezana kujenga majumba wakati mnajiita watetea walala hoi, mnatudanganya...
Hata kujibisha na natahira kama wewe inahitaji moyo sana...hiyo nyuma ina uajabu gani kwa mtu kama sugu au hukumbuki Makamaba alimzunguka dili la zaidi mil 50, je unajua ukikanyaga bungeni tu unapewa mkopo wa mil 90, je hiyo nyumba unayoishangaa una dhani ina thamani ya mil ngapi?...je uliwahi kujiuliza swali la yule mwanadada alietoa uchi ili kaka mtu au kwae ubunge na baadae uwaziri lina thamani gani?...
 
nyumba ya kawaida sana hiyo, kwa Dar haizidi millioni 40 sijui Mbeya itakuwa bei gani

Na mil 40 kwa mbunge/msanii ni kitu kagani kama akina LULU wanajenga mijengo ya ajabu iweje sugu msanii wa kwanza hapa Tanzania kwenye HIP HOP tushangae kwanza alichelewa alitakiwa kuwanazo zaidi 30....
 
"hata nisipo rap, dili zangu ni million, moja, mbili, tatu nne mpaka tano" by Sugu (2009!
 
uzushi 98 % of tanzanians lives in poor conditions but that has not stoped the government from spending billions shida iko wapi kama mbunge akijijengea nyumba nzuri au unataka amalize ubunge hana hata kibanda mumcheke..
 
Back
Top Bottom