Recent content by kwetukubaya

  1. K

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Anajifanya mjuuuuuji,eti ana source nyeti,khaaaaa
  2. K

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Sio ubishi,yeye ndio alikana kwamba hakuna mahali kamuweka Jesus wakati alimuweka[emoji848]aache ujuaji kujifanya eti ana source nyeti[emoji1787]
  3. K

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hakuna haja kukimbilia kutuma vikosi na kujiita una source nyeti wakati umekosea halafu unakuwa mbishi,acha ujuaji
  4. K

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    JF bwana[emoji1787]kuna Jukwaa la Arsenal umesema Arsenal anafungwa,huku Jukwaa la Man U unaandika tofauti tena[emoji1787]
  5. K

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kama umekosea sema sio KUKATAA kwamba hukumuweka,simple
  6. K

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hapo ulimuweka Jesus
  7. K

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hayupo Jesus hapo??
  8. K

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Acha kubisha,line up yako ya kwanza hapo juu ulimuweka Jesus
  9. K

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    eti NYETI[emoji1787]una vituko dogo, mwanzoni ulimuweka Jesus,sasa umemtoa Jesus na kumuweka Nketiah[emoji1787]
  10. K

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Harvetz tena[emoji24][emoji24]ujinga kabisa huu
  11. K

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    wewe ni miongoni mwa MACHOKO mliojificha JF,sasa Penati gani ile??upo Kizimkazi huko bandani unaleta ujuaji kwa walio Live uwanjani,CHOKO kweli wewe
  12. K

    Dodoma: NEMC yazifungia Rainbow na Chako ni Chako kwa kupiga kelele

    NEMC hawana ubavu wa kufunga hizo sehemu zaidi ya siku 3,lazima ziendelee kufanya kazi wiki ijayo
  13. K

    Kampuni ya MYSOL acheni kututapeli wananchi wanyonge

    Nilikwishawahi kutoa tahadhari kuhusu hiyo Kampuni ya MYSOL. Wananchi kuweni makini, nunueni Sola za Sundar, SUNKING na Makampuni mengine, hao MYSOL ni MATAPELI, mnataka mpaka mnyonywe Damu?
  14. K

    Ole Sabaya anafaa sana kuwa Rais wa Tanzania, na atakuja kuwa

    Huyu hapa mwamba mwenyewe Jenerali Sabaya [emoji1787] kakonda yamebaki macho tu *****,Jela sio kuzuri aisee, hakika What Goes Around Comes Around
  15. K

    Tatizo la vijana waliosomea mafuta na gesi kuzagaa mtaani wakati kila siku tunasikia miradi ya mafuta na gesi inazungumziwa na Serikali

    mwenye uhitaji wa contact za Wakurugenzi Wakuu PURA(Eng.Charles Sangweni)EWURA-Eng.Modestus Lumato na TPDC Eng.Mataragio aje inbox nimpe amuombe msaada,acheni kulialia mitandaoni,connection ni kumtafuta boss moja kwa moja na kumuomba msaada wa kazi
Back
Top Bottom