Rais yeyote anayependa luxury life huwa hathubutu wala kujihusisha na coplicated projects hata kama zinafaida kwa wananchi wake kwa sababu zitamnyima muda wa kula bata, kweye hili,, Rais Magufuli ni kama mbingu na ardhi ndio maana anathubutu.
Big 5 My President!
Tumeumbiwa Kusahau, ila wewe mwandishi una JICHO na KALAMU ya kiuandishi. Tangu nitoke JIJINI MWANZA na kujichomeka uchochoro mmoja wilayani MAGU sijakusikia tena sauti yako niliyoizoeaga kupitia REDIO SAUT FM nikakuona ona kupitia Star Tv katika vipindi pendwa viwili wakati huo baadaye...
Msaada wa kisheria jamani! Ninamkopo Bayport lakini NMB wapo ridhaa kunilipia mkopo huo, chakushangaza Bayport wanagoma kunipa barua ya balance yangu kwa kunidanganya danganya mara njoo kesho lakini ni miezi miwili sasa. Nifanyaje Jamani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.