Recent content by kwetugt

  1. kwetugt

    JamiiForums Tanzania Nionesheni dawa ya mtu mzima miaka 20 anayekojoa kitandani

    Hakikisha mkaa unazima kwa mkojo pote kwakuukojolea huku Unaugeuza kila upande sio lazima ufukie sehemu moja kila siku fukia kila siku sehemu tofauti sio kishimo hicho hicho kila siku
  2. kwetugt

    JamiiForums Tanzania Nionesheni dawa ya mtu mzima miaka 20 anayekojoa kitandani

    Dawa ya mtu mzima kuacha kukojoa nakupa maelekezo bure kabisa, Chukua mkaa vipande vitatu vichome hakikisha vimekuwa moto kweli, 2: chukua kipande moja wapo kikiwa na moto weka kwenye kipande cha bati nakojolea hicho kipande mpaka kizimike na ukihakikisha kimezima chote kwa mkojo, chimba...
  3. kwetugt

    JamiiForums Tanzania Pongezi Bodi ya Ithibati kwa Waandishi wa Habari kwa Mwanzo Mzuri, Cheti Kisitumike kama Fimbo Kuwachapia Wenye Vipaji, Uwezo na Uzoefu wasio na Cheti

    Mkuu kumbuka kuna tofauti kubwa sana kati ya akili na Elimu japo vinashabiana kwambali kiasi, hii na maanisha mtu anaweza kuwa na elimu kubwa tu lakini akawa hana akili, Akili mtu huzaliwa nayo na haihitaji darasa lakini elimu huishwa kutoka mtu mmoja hadi mwingine sasa wewe uko je uko pahala...
  4. kwetugt

    JamiiForums Tanzania Rais Trump: 'Nadhani ni ujinga kuanzisha chama cha tatu'

    Marekani ina vyama vingi sana ndugu laikini vyama vikuu viko viwili vilivyobakia vyote huitwa vyama vya tatu
  5. kwetugt

    JamiiForums Tanzania Rais Trump: 'Nadhani ni ujinga kuanzisha chama cha tatu'

    Marekani ina vyama saba hiki kama kitaingia nadhani kitakua cha nane lakini vyama vyenye nguvu viko viwili kwahiyo kabla hajatoa neno jitahidi kusoma kwanza
  6. kwetugt

    JamiiForums Tanzania DW News nao wamkalia kooni mtawala wa Tanzania!

    Marekani hana rafiki wakudumu wala adui wakudumu, elewa neno "Hana "
  7. kwetugt

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania A serious single man is needed age btwn 33 to 42 yrs old

    Mawasiliano
  8. kwetugt

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serikali yazima matangazo yote kuhusu kamari (mkeka) nchini

    Soma kwanza uelewe, haraka ya nini kupongeza CCM? CCM na mambo ya Kenya wapi na wapi wewe kumbe CCM inaongoza hadi Kenya
  9. kwetugt

    JamiiForums Tanzania Mechi ya Simba vs Yanga kupigwa Mei 10, 2025

    Hovyo kabisa wewe
  10. kwetugt

    JamiiForums Tanzania Maaskofu kugeuza Ibada ya Pasaka kama jukwaa la kuisemea CHADEMA ni kujitoa ufahamu, mlikuwa wapi wakati Lissu anazungumza lugha za uchochezi?

    Watawala wasipotekeleza maaskofu wanauwezo wakuhamasisha waumini wao wasipige kura au Kutokukipigia chama kinachoenenda kinyume na taratibu kama CCM wanavyofanya.
  11. kwetugt

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Dk Doto Biteko: Tujitokeze ili tuweze kugombea kwa ajili ya kuhudumia nchi yetu

    Hapana huyu mtu chama chochote anashinda Akigombea, Amenyooka sana
  12. kwetugt

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tundu Lissu ana kesi ya kujibu. Kila aliyemsikiliza analiona kosa

    Elimu yako tafadhali?
  13. kwetugt

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tundu Lissu ana kesi ya kujibu. Kila aliyemsikiliza analiona kosa

    Elimu yako tafadhali?
Back
Top Bottom