Sijawahi kukupa like mkuu ila leo nimeitoa.kongole sana kwa bandiko hili la jumapili ya leo.
Nadhani Leo umeenda kifasihi zaidi ya uandishi.shida kubwa iliyopo kwa viongozi wetu ni kuendekeza tamaa na maslahi yao binafsi ndicho kilichotokea tangu mwanzo wa mchakato wa hiyo MoU,kuja IGA na...
Mkuu Matola NIT pale anatakiwa dereva ambae tayari yuko competent sio anaejifunza.isitoshe,tofauti na veta hiyo ya kihonda hapo Morogoro ndio wanafundisha kiasi hizi gari kubwa ila hata hivyo nao baadae wanakutafutia mtu wa transit au unatafuta mwenyewe.
Sasa kwanini Mimi nisitafute kabisa ili...
Wakuu habari zenu,
Hongereni na majukum na poleni kwa yale magumu yanayotuandama.
Nimekuja kwenu wakulungwa. Kama Kuna dereva wa hizi gari kubwa, au kwa namna yoyote unahusika na hizi gari kubwa Kama msimamizi, dalali au vinginevyo, basi naomba unisaidie connection ya utingo hata Kama kutakuwa...
Wakuu habari!!!
Natumaini tuko poa sote,na kwa wale wapitao katika magumu Basi Mungu aweke rehma zake mambo yaweze kuwa mepesi.
Tuje kwenye mada,ndugu zangu Mimi ni baba wa familia ya watoto wawili na mke mmoja.
Nimeamua nije kwenu nahitaji msaada maana duuh!Hali inakoelekea naona mwanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.