Kwetu Tunduru
Member
- Feb 7, 2023
- 16
- 57
Wakuu habari zenu,
Hongereni na majukum na poleni kwa yale magumu yanayotuandama.
Nimekuja kwenu wakulungwa. Kama Kuna dereva wa hizi gari kubwa, au kwa namna yoyote unahusika na hizi gari kubwa Kama msimamizi, dalali au vinginevyo, basi naomba unisaidie connection ya utingo hata Kama kutakuwa na kiingilio kidogo niko tayari kuchangia.
Lengo ni kuwa dereva wa gari hizo, ada ya veta Sina ndio maana naomba kuwa tingo wakulungwa.
Nawasilisha.
Hongereni na majukum na poleni kwa yale magumu yanayotuandama.
Nimekuja kwenu wakulungwa. Kama Kuna dereva wa hizi gari kubwa, au kwa namna yoyote unahusika na hizi gari kubwa Kama msimamizi, dalali au vinginevyo, basi naomba unisaidie connection ya utingo hata Kama kutakuwa na kiingilio kidogo niko tayari kuchangia.
Lengo ni kuwa dereva wa gari hizo, ada ya veta Sina ndio maana naomba kuwa tingo wakulungwa.
Nawasilisha.