Hawa waturuki wanaochinja kila uchao ndio wanapandisha bei
Nadhani sisi kama watanzania hii ni fursa ya kujiimarisha katika ufugaji kwa kuwa soko limekuwa
Watoto wao ni kundi la watawala sharti wawe wachache
Sie watoto wetu ni kundi la wapiga kura hivyo sharti wapiga kura wawe wengi kura zitoshe.
Nawasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.