Ni kweli Sam Mahela ana bore sana uendeshaji wa dakika 45. Ni kama anakuwa na misimamo yake na maelezo yake kichwani halafu wakati muhojiwa anatoa ufafanuzi huwa anamkatisha na kuchomeka ya kwake. INAKUWA KAMA MAZUNGUMZO TU NA SI MAHOJIANO.
Halafu maswali yake mengine ni maswali yenye majibu...
Binafsi sikubaliani na maamuzi hayo ya kuhamia Dodoma, esp. anapokuja PM na kusema kishabiki kuwa yeye atahama mwezi wa 9 na kuwataka mawaziri wamfuate. Kuna haja ya kuangalia economic sense ya jambo hili.
- Serikali ni mpya na hata haijamaliza mwaka inaanza mradi mwingine mzito wa kuhamia...
Umesema kweli ndugu, yaani Mbowe anaona aibu jinsi gani ya kumtema ili chadema iwe huru. Na si Lowasa tu bali ni pamoja na genge alilokuja nalo kutoka ccm. Na ikiwa hivyo chadema itazaliwa upya na Mbowe itabidi naye angolewe uenyekiti.
Tatizo lingine la Katibu mkuu CDM ni kuwa hana mamlaka kamili inayoendana na cheo chake au hajiamini. Hii ni kwa sababu wako watu pale makao makuu wanaojiona wao ni cdm zaidi hivyo hawawezi kumsikiliza hao ni kama Mnyika, Lissu, Kubenea, Mwita Waitara, Halima Mdee, n.k.
Na unakuta Mbowe anaongea...
Lowassa mbona havai gwanda? Au bado anaamini kuwa mabilioni yake aliyoyatoa yamenunua kabisa majority share za Chadema?
Makamanda hii tuikatae, aturudishie chama chetu. Hasije akadhani pia kuwa yeye ndie mgombea wetu 2020.
Msindai na Mpendazoe kurudi CCM si pigo kwa Chadema kwa maana ya kuwa wameacha pendo la uhanaharakati. ILA NI PIGO KWA MAANA KUWA hii inadhihirisha udhaifu mkubwa katika uongozi wa cdm na pia inadhoofisha na kudhalilisha taswira ya chama kwa jamii ya watanzania.
Mbowe alifanya makosa makubwa...
JPM yuko sahihi kabisa:
(1) Ukwepaji kodi bandarini ulikuwa widespread, na naamini majority yake unahusisha vimemo vya ikulu, na wakubwa wa serikali iliyopita. Sasa kwa kuwa ndio ameingia madarakani, si sawa kuanza tu unafungafunga wafanyabiashara wakubwa wengi hivyo, lazima uwape 'breathing...
Naona Pasco ni mojawapo wa majipu yanayoanza kutumbuliwa, tulia tu hadi usaha wote utoke.
Kuhusu hela za makampuni kwa tafrija ya bunge, baada tu ya kutoa hela hizo zilikuwa mali ya Serikali kupitia Bunge, na Raisi ni accounting officer no.1 wa pesa yote ya serikali, kwa hiyo alikuwa na mamlaka...
Maoni yangu:
1. Kwanza refa alituuma sana, kwa kutoa kadi ovyo na ku-call fouls ambazo hazina kichwa wala miguu. Inawezekana alishalambishwa. Mfano, binafsi zile penalti mbili si halali kabisa; ya kwanza mlinzi wa stars alichezewa vibaya kabla ya yule wa algeria hajazongwa na 'kuangukia'...
ILibidi apinge hadharani ili kumwonyesha Lowassa kuwa mafungu aliyopewa na ahadi za uwaziri mkuu anazitendea kazi. Vilevile alitegemea kuwa wangeweka shinikizo kubwa NEC ili jina la Lowassa lirudi n andipo angeibuka shujaa wa Lowassa. Ila ndio hivyo kushindana na CCm ni sawa nakupiga ngumi ukuta!
Were ungekuwa na IQ kubwa ungebaki TZ na kutendea kazi fursa kibao zilizopo kama sisi. Lakini IQ yako ndogo ndio maana umeishia kukimbilia ulaya kubeba mabox na kuogesha vikongwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.