Ndani ya CCM ukienda kinyume na matakwa yao umekwisha hata kama unasimama katika ukweli, huo ni mwazo tu kwake wa machungu kwa kupingana na maamuzi ya wakubwa wake. Na bado kwa wengine akina Sofia. Tofauti yake na sofia ni kwamba Sofia ni mwanamke, hivyo hata treatment zao zitakuwa tofauti.
Unataka watu waanze matusi enh. Unamaanisha wa upinzani au CCM?Wewe ulioanzisha hii mada, unataka kumfananisha na nani Nchimbi?
Dawa imfaayo mnafiki siku zote ni psychological torture tu!
Nadhani amekosea isipokuwa Mh alikosa busara.Unadefine vipi unafiki mkuu?
Duh kweli CCM wababe sana Dr wetu ndio hivyo tena kwishey.
Atateuliwa kuwa mkuu wa mkoa au Balozi
Exactly!na kupinga kutokana na kuwa mtu wako amekatwa....yeye na Sofia Simba hakuna namba wataacha kuisoma