Topic nzito sana hii. Kuishi na mke mwenye trauma ninchangamoto sana sana sana sana....
Kama ni Mwanaume wa mke mmoja unaweza kupata hata kichaaa. Ukiwa unachepuka chepuka unaweza kidogo kusurvive.
Trauma inatibika. Though ni very ezpensive. Changamoto ninayoiona kwenye kesi ya huyu bwana ni...
Ningemheshimu zaidi huyu bwana kama angejikita kutatua migogoro ya kwake sudan na kule kongo. Eritrea, pia ethiopia? Kwanini wanavishambulia vinchi vinavyojitahidi kuweka mazingira bora kwa wengi at the expense ya wachache? Wao kwanini wanakimbilia kutengeneza mazingira mazuri kwa wachache at...
WENGI NI WATU WAZITO SANA nchi hii, nawakumbuka kina Arthur Lyatuu, kina Pius Macha, ....kina Jacob Mtui alikimbizana sana na kile kichwa cha kihindi Salim Ghulam japo Salim alikuwa anawasha taa mbaya sana
ile batch ya kina Kamgisha Kazaura ilichangamsha sana kambi na hasa kule kwenye basket...
Kwa tabia hizi zilozotajwa nadhan hawa waliozaliwa changanyikeni wanaweza kuwa bora...maana kiukweli hawezi kukutoa roho sababu ya mali. Tofaut na makabila mengine
Kwa kweli ni ajabu sana. Siku hizi mwanamke na mna mawazo ya kuishi pamoja bila kuchelewa atakuambia nijazie gari mafuta tukatembee, kidogo atasema tairi zimeisha. Mpaka najiuliza hivi hawa watu wana akili kweli? Sababu inapoelekea mwanamke kama huyu ni kumwacha tu. Sijui ni makuzi mabaya? Au...
hukujuwa tu. huyu mpaka amekuja kutafuta dating online inawezekana kabisa ana uzuri wake wa ndani ambao ndio ulikutana nao akaweza kufunguka tofauti wa yale ya barabarani
Mmimi huamini binadamu ni mazao. Sisi ni malighafi lwa kazi fulani za Mungu. Alitupanda anajuwa kazi yetu.
Inawezekana waliotuumba wako kwenye visayari wanakuja kututembelea na vile vispaceship
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.