Recent content by kweleakwelea

  1. kweleakwelea

    Tabia za mwanamke wa kigogo

    Kwa tabia hizi zilozotajwa nadhan hawa waliozaliwa changanyikeni wanaweza kuwa bora...maana kiukweli hawezi kukutoa roho sababu ya mali. Tofaut na makabila mengine
  2. kweleakwelea

    Fahamu namna ya kuishi na mpenzi anayependa fedha

    Kwa kweli ni ajabu sana. Siku hizi mwanamke na mna mawazo ya kuishi pamoja bila kuchelewa atakuambia nijazie gari mafuta tukatembee, kidogo atasema tairi zimeisha. Mpaka najiuliza hivi hawa watu wana akili kweli? Sababu inapoelekea mwanamke kama huyu ni kumwacha tu. Sijui ni makuzi mabaya? Au...
  3. kweleakwelea

    Tupeane tips na uzoefu wa kukutana mitandaoni. Online Dating

    hukujuwa tu. huyu mpaka amekuja kutafuta dating online inawezekana kabisa ana uzuri wake wa ndani ambao ndio ulikutana nao akaweza kufunguka tofauti wa yale ya barabarani
  4. kweleakwelea

    Binadamu hana jipya hapa duniani zaidi ya kuwa ni mfugo unaosubiri kuliwa tu

    Mmimi huamini binadamu ni mazao. Sisi ni malighafi lwa kazi fulani za Mungu. Alitupanda anajuwa kazi yetu. Inawezekana waliotuumba wako kwenye visayari wanakuja kututembelea na vile vispaceship
  5. kweleakwelea

    Muunganiko wa Sukuma Gang na CHADEMA itaigharimu CCM

    Mmechelewa Sukuma.gamg ndio walimtoa mwenyekiti kizuizini? Umekwisha hio!
  6. kweleakwelea

    Rais Samia kufanya ziara ya kikazi Ufaransa na Ubelgiji

    Sidhani. Hangaya alisafiri Hadi Nairobi kumtakia Hali tundu lissu
  7. kweleakwelea

    Nauliza swali: Ni kanuni gani inatumika kutoza kodi ya kuingiza (import) gari toka nje ya nchi?

    Usijali ndio thamani halisi ya hio Gari. Kimsingi nikiagiza Gari huwa naweka allowance milioni mbili zaidi ya Bei ambayo Gari imetumia kufika dar yaani CIF SO relux..haonwamekuwamfair
  8. kweleakwelea

    Happy Birthday Rais Samia! Mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu

    Tunakuombea busara na maisha marwfu yenye afya Mheshimiwa Raid wetu
  9. kweleakwelea

    Profesa Assad afuate nyayo za Prof. Safari kuliko kuumia na kinyongo

    Sidhani.issue Yale ilikuwa ni kubwa na ya kihistoria
  10. kweleakwelea

    Hawa askari hapa wanalinda nini?

    Ishu ninkwamba tyr lipo kwenye chata muhimu Kama nembo za taifa.....vyeo vya jeshi...nk Alama ya utanzania wetu... Hakuna namna
  11. kweleakwelea

    Rais Samia afanya uteuzi. Katibu Mkuu Kiongozi ahamisha Vigogo 5 TANESCO

    Haya Sasa gombaneni wenye maslahi yenu. Me nipo kimya najuwa hata niwe dini Ile kabila hili hakuna ataenikumbuka! Ngojea nikazane shambani kwangu tu
  12. kweleakwelea

    Kiburi cha Polepole kimefika mwisho

    Atajitoa..........Ataanzisha chama.......atapata wafuasi....atakuwa maarufu..........ataua wenzake.......atagombea....watasukuma Gari lake.....atazuga......atalindwa.....atarudi nyumbani......historia hujirudia......
  13. kweleakwelea

    Huyu Mbunge wa Mufindi Kusini ni hazina ya taifa

    Dah...BAC sawa. Ngoja tuanze fuatilia
Back
Top Bottom