Mtu ameruka ukuta yuko nfani ya Fensi mnapapara gani? Wangetumia njia rahisi kumkamata, ona sasa hata hawajui kilichomleta na hawatajua kabsa wamepoteza kila kitu.
6 Nanyi mtasikia habari za vita na matetesi ya vita; angalieni, msitishwe; maana hayo hayana budi kutukia; lakini ule mwisho bado.
Mathayo 24 :6
7 Kwa maana taifa litaondoka kupigana na taifa, na ufalme kupigana na ufalme; kutakuwa na njaa, na matetemeko ya nchi mahali mahali.
Mathayo 24 :7...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.