Recent content by Kwanza Taifa

  1. K

    Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

    1,500sqm ni eneo la nyumba tu au ni pamoja na hiyo “plot ya pembeni”?
  2. K

    Rais angalau awe ameshakuwa Waziri wa Mambo ya Nje au Balozi; kwa hili Nyerere aliona mbali

    Unakusudia kufikisha ujumbe gani kwa uzi huu? Hata hivyo, fikiria kwanza kuhariri uandishi wako pengine utaeleweka zaidi: 1. Hasara za kutochaguwa ...... ambaye ana .... 2. Hasara za kuchaguwa.... ambaye hana
  3. K

    Waziri Kairuki: Ukatili wa kijinsia unachelewesha Tanzania ya viwanda

    “...kutetea unyanyasaji wa kijinsia”? Kwa nini?
  4. K

    Askofu Ludovick Minde, Mungu anamtaka kuwa KADINARI wa Kanisa Katoliki baada ya Pengo.

    Kweli tupu, ingawa utaambiwa unadhihaki. Siku waAfrika tutakapoamka na kujitambuwa ndiyo utakuwa mwanzo wa safari yetu ya kuendelea kama watu. Mpaka sasa, kwa utumwa huu wa fikra, acha tubishane tu nani ni "mRoma" au mKatoliki zaidi ya mwingine. Msiba mkuu huu!!
  5. K

    Reginald Mengi: kama hatuwekezi kwenye elimu, tusahau maendeleo ya viwanda ni msiba

    Kwani uChina walipata uhuru wao kutoka kwa nani? Lini?
  6. K

    Urafiki wa mashaka wa vituo vya redio

    Joined: Jan 23, 2017 ...kwa shughuli hii maalum (?). Ninawaza tu.
  7. K

    Historia ya Paul Makonda iwasisimue Vijana

    Iwapo kuna wanaloweza kujifunza vijana kutokana na hili suala la Makonda/Bashite/Paulo/Daudi, ni: 1. Usitumie majina / vyeti visivyo vyako kujipatia ajira au kujinufaisha kwa namna yoyote. 2. Unaposhutumiwa, jibu shutuma husika kwa vielelezo na si kulialia kwenye nyumba za ibada...
  8. K

    Rusumo: Kijana mbadilisha fedha auawa na majambazi karibu na alipokuwa IGP

    "...tumehudhunishwa, mshauli, ocid, mashushu, kutukia, kipangamizi, AJABU lingine"
  9. K

    Jombi, Jambazi aliyetisha wa Kimataifa aliyeishi Tanzania

    Aliitwa Said Abinala, iwapo nina kumbukumbu sahihi.
Back
Top Bottom