Reginald Mengi: kama hatuwekezi kwenye elimu, tusahau maendeleo ya viwanda ni msiba

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,885
IMG-20170402-WA0021.jpg
 
Kama mikopo inatolewa kwa wanafunzi waliosoma shule za Kata tu unategemea kuna viwanda hapo
 
Ndio maana Lowassa na UKAWA walikuwa wakisema Elimu, Elimu, Elimu.....

Tanzania ya Viwanda ni hadithi za kusadikika zilizotungwa kule Chato na kuja kuchapichwa pale Lumumba na mwisho zikaletwa kwa watanzania ili waziimbe kama chorus tu.
 
Waziri wa elimu kazi imemshinda, nashangaa hajatumbuliwa hadi sasa. Yaani hakuna positive hata moja toka aingie, kuna negatives tu zinaongezeka.
 
Ndio maana Lowassa na UKAWA walikuwa wakisema Elimu, Elimu, Elimu.....

Tanzania ya Viwanda ni hadithi za kusadikika zilizotungwa kule Chato na kuja kuchapichwa pale Lumumba na mwisho zikaletwa kwa watanzania ili waziimbe kama chorus tu.
Kwani viwanda vya IPP na vinginevyo saa hizi vinaendeshwaje ! Mzee Mengi usijiunge na kampeni ya umbea dhidi ya JPM !
 
Wanadhani ni kukimbizana na wapinzani ndo maendeleo,Uchina baada ya kupata tu uhuru walipeleka vijana wao kusomea uandisi mataifa makubwa yalokuwa yameendelea kwa wakati huo mf UK,na baada ya miaka kumi wakarudi wote nchini mwao na kuanzisha viwanda vya kutengeneza vyuma na baada ya hapo Uchina ikaanza kujongea kimaendeleo.Had mda huu haikamatiki.
Ila sisi wabongo tumekalia umbea,chuki ,uvivu na visasi na kamwe maedeleo ni ndoto kama hatutabadilika.
 
Halafu wana hubiri viwanda,viwanda .Wafanyakazi wahivyo viwanda watakuwa akinanani!! Wachina!!!!itakuwa hakuna faidavga hivyo viwanda.Serikali ijenge vyuo vikuu vingi hakafu iboreshe elimu ya elimu ya msingi na sekondari.Hili swala ilibidi mhanzue tangu kipindi cha Nyerere.Tungekuwa. bali sana kama watanzani wengi wengekuwa na elimu ya vyuo vikuu.Hili hata Nyerere likimshinda.Nyerere aliwekeza sana katija elimu ya upe.Haikutusaidia kitu.
 
Nyerere alimwekeza kwenye elimu ya msingi sana ili wengi tujuwe kusona na kundika tu aweze kututawala afakavyo.Huwezi kufuta ujinga kwa kujuwa kusoma na kundika tu.Hilo ndilo lilikuwa swala la msingi sana kipindi cha Nyerere,elimu ambsyo wengi waliishia.Ilikuwa ni bahati sana kufaulu kwenda sekkndari kipindi cha Nyerere.Shule nyingi zikikuwa hazina walimu wenye kufubdisha ili wanafunzi waweze khfaulu.
 
Ngoja afanyiwe fitna Biashara zake zichunguzwe , hawataki kabisa kukosolewa hawa .
 
Wanadhani ni kukimbizana na wapinzani ndo maendeleo,Uchina baada ya kupata tu uhuru walipeleka vijana wao kusomea uandisi mataifa makubwa yalokuwa yameendelea kwa wakati huo mf UK,na baada ya miaka kumi wakarudi wote nchini mwao na kuanzisha viwanda vya kutengeneza vyuma na baada ya hapo Uchina ikaanza kujongea kimaendeleo.Had mda huu haikamatiki.
Ila sisi wabongo tumekalia umbea,chuki ,uvivu na visasi na kamwe maedeleo ni ndoto kama hatutabadilika.

Kwani uChina walipata uhuru wao kutoka kwa nani? Lini?
 
Tumwelekeze kwani sisi tulimchukulia form?

"Sipangiwi cha kufanya" over

Halafu wengine waache unafiki. Wasubiri muziki unaelekea upande wao so wajiandae kuucheza sio kulalamika lalamika.
 
Mengi anarusha za reja reja dhidi ya mkulu.
Aseme tu, anaisoma namba, biashara yake Guardian nimeona mahali humu mtandaoni kuwa inasua sua.
Ndio maana Lowassa na UKAWA walikuwa wakisema Elimu, Elimu, Elimu.....
Tanzania ya Viwanda ni hadithi za kusadikika zilizotungwa kule Chato na kuja kuchapichwa pale Lumumba na mwisho zikaletwa kwa watanzania ili waziimbe kama chorus tu.
M
 
Waziri wa elimu kazi imemshinda, nashangaa hajatumbuliwa hadi sasa. Yaani hakuna positive hata moja toka aingie, kuna negatives tu zinaongezeka.
Hahaaha huyo ndiyo alikuwa anataka vijana walohitimu diploma wasipate kudahiliwa na vyuo vikuu hadi wapitie form five na six.
Kwa kweli mabadiliko kwenye mfumo wa elimu inatakiwa uwe mjadala mkuu kwa Tanzania mana hali si nzuri hata kidogo.
 
Back
Top Bottom