Wakati mwingine ss watanzani bado tulipa kodi za kichwa za enzi zile za baba wataifa yani .Maxcom wanakuzia 775000kama sikose na floti ya 150000 kwahiyo mashine 625000 halfu kwa mwezi mnagawana faida .
pia ukishindwa biashara mashine yao unarudish bure kwanini ?wasitoe mashine bure halfu ndiyo...
jana alisimama pale kogogo
anazindua gaden akasema mwananchi si mnajua ofsini kwangu leteni kero zenu mm bado nipo sana yani anauhakika kabisa wa miaka 10
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.