moja kati ya maombi yangu kwa Mungu ni kuifanya tanzania isiwe na viongozi wezi, wala rushwa na wasiojali masrahi ya wananchi hatimae naelekea kufanikiwa.
Ndugu wanajamvi nakumbuka kuna siku za nyuma niliwahi kuandika comment zangu juu ya uchafu anaofanya wema na wenzake juu ya kupiga picha za uchi na kadharika, majibu yanaanza kupatikana,who is wema by then? tatizo hapo kuna watu watalegezewa macho naku......................ndani guseni...
hivi ninavyoongea punde tu nilikuwa kwenye huo msosi mnaousema sijabahatika kumuona mboe wala slaa kama mmeshindwa kufuata regulation za jf ni bora mjifute,We gamba nini? usidanganye watuuuuuuuuuu, labda kama alifika nilipoondoka kwa lengo la ......................................nae kupata sifa...
yesuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu! Nilisimuliwagwa na babu Mtwaraaaaaaaaaaaaaaa,kumbe ndio maana alikuja kusaini mikataba ya hellgolandi mara baada ya kuapishwaaaa na wamalekani je? "Tanzania eeeeee! mwanangu kuwa uyaoneeee! tanzania eeeeeeeeeeeee by ROMA ft. dogo, writer KUZACHA.
when i read these thread nazidi changayikiwa kabisaa! sidhani kama ukweli unaweza kupotoshwa,"NATAMKA KWA MAMLAKA YATOKAYO JUU MBINGUNI:KAMA MIPANGO KAMA HIYO IPO! VINYWA VYAO VIKAFUNGWE SIKU HIYO NA UBUBU UTOKEE, MACHO YAO YAKATIWE PILIPILI USIKU HUU NINAPOTAMKA HAYA,WAKAPIGWE KWA...
Niko nafanya michakato ya kufuta uraia wa Tanzania ili niwe raia wa nchi nyingine atakayoniongoza Mungu wadau mtanichangia nauli? unajua nini amfedup with dis country.Amani imepotea, Haki haipo, sijui ni huu ujio wa hawa jamaa? labda wanachochea haya mambo yatokee ili tuchapane, then wajifanye...
Tumetumia siasa imeshindikana sasa acha tutumie nguvu za mababu coz hawa jamaa watata hawakawii kutuuza na sisi" slavery period" Hakuna cha obuma wala bushe samahani wadau nina tatizo la pronounciation za kiswahili, tiheee! tiheeeeee, magamba mpooooooooooooo!:lock1:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.