Chama cha democrasia na maendeleo kimezidi kuonekana kuwa mbadala wa ccm kutokana na jinsi serikali inavyoendesha nchi , usanii , unyanyasaji na udini vikiwa ndiyo mtaji wa ccm , kung'ang'ania uwajibikaji wa pamoja hata katika kuiua nchi , huo ni ujambazi usioweza kuvumiliwa, falsafa mfu za...