Mbona hatukuelewi? Tunakushangaa kwa kushangaa CDM kama wangechanisha! Ukumbuke chama kinaendeshwa na michango ya wanachama. Sasa chama kuchangisha fedha shida iko wapi?
Nami natoa taarifa za kiintelejensia kuwa mwema watangazie polisi wako hata mmoja asitokee kwenye mazishi ya wahanga wa maandano ya amani,kwani hasira za wananchi zitakuwa juu ya askari wako,tunataka zoezi zima liende kwa amani chini ya watu wote wenye mapenzi mema,
siku nzote polisi ndio mmekuwa chanzo cha vurugu,sasa hatutaki maafa mengine wala umwagaji damu wa aina yoyote,waache hao askari wako wakae huko huko vituoni kwao.
Puuzia hizi taarifa za kiintelejensia na uone kitakachotokea
kila mtu anazake kweli! Na wewe ni kiumbe wa Mungu?, basi anaviumbe wengi sana.polisi watakuwepo kulinda amani na atae fanya fujo atakula mkong'oto, wa kenya hawatoshi, sasa leteni na wa ganda.
Polisi watakuwepo kulinda amani na atae fanya fujo atakula mkong'oto, wa Kenya hawatoshi, sasa leteni na wa Ganda.
zomba wewe ni zombi haswapolisi watakuwepo kulinda amani na atae fanya fujo atakula mkong'oto, wa kenya hawatoshi, sasa leteni na wa ganda.