engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Ndugu wana jamvi,mimi bado najiuliza hili swali kila siku juu ya hawa polisi wetu wa tanzania hivi wapo ktk hiyo kazi kwa maslahi ya nani?
kwani kila kukicha jamii inalalmika juu ya hawa polisi wetu,kwa mfano wiki hii polisi wamemkamata Mpendazoe kwa madai ya kutumia Gari la wizi,ambalo yeye Mpendazoe anadai tangu akiwa ccm amekuwa akilitumia.na amekuwa akimiliki gari hilo tangu mwaka 2007,
mpendazoe anasema "Askari walinikamata kwa nguvu kubwa, hadi kufikia hatua ya kutishia kutumia silaha endapo ningeendelea na msimamo wangu wa kutaka kujieleza"
Pia ktk tukio la mtoto wa mengi polisi hao hao wanalalamikiwa kwa kutaka kumbambikia madawa ya kulevya kijana huyo na walitajwa kwa majina
Ktk kesi ta zombe ilionekana dhahili kuwa wale vijana wa mahenge walifanyiwa kitu mbaya na haohao polisi ambao kwetu sisi jamii tungedhani wangekuwa msaada kwa matukio ambayo ni hatarishi kwa jamiii
Na hata vijana wengi niliongea nao ambao wamesha onja adha za jera walinieleza kuwa %kubwa ya vijana waliowakuta kule ni wale ambao walibambikiziwa kesi za bangi na wizi wa kuku
Kaka yangu wa tumbo moja anayeishi MPWAPWA-DODOMA Polisi walimbambikizia kesi ya kuiba pazia kwa mkuu wa kituo Mpwapwa na baada ya siku 10 waliwakamata wahusika wakiwa na mapazia na picha za mkuu wa kituo na walimtoa kaka yangu ambaye tayari alishapokea kichapo cha hali ya juuuu
SASA SWALI NAJIUZA NA NAOMBA WANAJAMVI MNISAIDIE HAWA POLISI WA HII NCHI YETU TANZANIA WANAFANYA KAZI KWA MASLAHI YA NANI? NANI ANAYEWALIPA KWA KAZI YA KUWABAMBIKIA WATU KESI? TUSAIDIANE JUU YA HILI
MAPINDUZIIIIII DAIMAAAA 15202425864 :target:
kwani kila kukicha jamii inalalmika juu ya hawa polisi wetu,kwa mfano wiki hii polisi wamemkamata Mpendazoe kwa madai ya kutumia Gari la wizi,ambalo yeye Mpendazoe anadai tangu akiwa ccm amekuwa akilitumia.na amekuwa akimiliki gari hilo tangu mwaka 2007,
mpendazoe anasema "Askari walinikamata kwa nguvu kubwa, hadi kufikia hatua ya kutishia kutumia silaha endapo ningeendelea na msimamo wangu wa kutaka kujieleza"
Pia ktk tukio la mtoto wa mengi polisi hao hao wanalalamikiwa kwa kutaka kumbambikia madawa ya kulevya kijana huyo na walitajwa kwa majina
Ktk kesi ta zombe ilionekana dhahili kuwa wale vijana wa mahenge walifanyiwa kitu mbaya na haohao polisi ambao kwetu sisi jamii tungedhani wangekuwa msaada kwa matukio ambayo ni hatarishi kwa jamiii
Na hata vijana wengi niliongea nao ambao wamesha onja adha za jera walinieleza kuwa %kubwa ya vijana waliowakuta kule ni wale ambao walibambikiziwa kesi za bangi na wizi wa kuku
Kaka yangu wa tumbo moja anayeishi MPWAPWA-DODOMA Polisi walimbambikizia kesi ya kuiba pazia kwa mkuu wa kituo Mpwapwa na baada ya siku 10 waliwakamata wahusika wakiwa na mapazia na picha za mkuu wa kituo na walimtoa kaka yangu ambaye tayari alishapokea kichapo cha hali ya juuuu
SASA SWALI NAJIUZA NA NAOMBA WANAJAMVI MNISAIDIE HAWA POLISI WA HII NCHI YETU TANZANIA WANAFANYA KAZI KWA MASLAHI YA NANI? NANI ANAYEWALIPA KWA KAZI YA KUWABAMBIKIA WATU KESI? TUSAIDIANE JUU YA HILI
MAPINDUZIIIIII DAIMAAAA 15202425864 :target: