Gazeti la an nnur kufutwa/ kufungiwa

Dec 27, 2010
23
0
Kutokana na mwenendo wa gazeti hili kuna kila dalili za gazeti hili la kiislam kufutwa au kufungiwa kwani limeonyesha dhahiri bila ya uficho kuwa na mwelekeo wa kichochezi , mwelekeo wenye kuamsha na kujenga hisia kali za kidini hasa kwa waislam ambao kwa miaka mingi wamekuwa ni watu wenye kuaminika na jamii yote ya watanzania .
 
Kutokana na mwenendo wa gazeti hili kuna kila dalili za gazeti hili la kiislam kufutwa au kufungiwa kwani limeonyesha dhahiri bila ya uficho kuwa na mwelekeo wa kichochezi , mwelekeo wenye kuamsha na kujenga hisia kali za kidini hasa kwa waislam ambao kwa miaka mingi wamekuwa ni watu wenye kuaminika na jamii yote ya watanzania .

Huyu nae utafikiri kipofu! kwani hujaona post kama hii? si upeleke post yako huko? Modereta hamishia hii post huko ilipoanzishwa! kuna watu wengine wanahitaji msaada!
 
Back
Top Bottom