Recent content by Kusena

  1. Kusena

    JamiiForums Tanzania Nina stashahada ya Maendeleo ya Jamii. Natafuta ajira halali

    Habari zenu wapendwa, Poleni kwa mihangaiko ya kila siku. Kwa majina naitwa Kusena, mwanaume mwenye umri wa miaka 26, elimu yangu ni stashahada ya Maendeleo ya jamii. Mimi ni mzaliwa wa mkoa wa Pwani, halmashauri ya wilaya ya Chalinze, na kwa sasa ninaishi katika mkoa wa Mbeya. Ndugu zanguni...
  2. Kusena

    JamiiForums Tanzania Natafuta fursa ya kazi halali

    Habari zenu wapendwa, Poleni kwa mihangaiko ya kila siku. Kwa majina naitwa Kusena, mwanaume mwenye umri wa miaka 26, elimu yangu ni stashahada ya Maendeleo ya jamii. Mimi ni mzaliwa wa mkoa wa Pwani, halmashauri ya wilaya ya Chalinze, na kwa sasa ninaishi katika mkoa wa Mbeya. Ndugu zanguni...
  3. Kusena

    JamiiForums Tanzania 3 Technical staff at Mtwara Halotel

    Mkuu huna za diploma?
  4. Kusena

    JamiiForums Tanzania Kijana acha kujiita jobless, chukua hii achana na ubishoo

    Tulivyojaribu kupika.
  5. Kusena

    JamiiForums Tanzania Kijana acha kujiita jobless, chukua hii achana na ubishoo

    Ungeweka hata namba ya WhatsApp basi tukutumie picha
  6. Kusena

    JamiiForums Tanzania Aina ya mazao ya kilimo yanayolimwa butiama

    Muhogo,ulezi na mtama
  7. Kusena

    JamiiForums Tanzania Natafuta Kazi mwenye connection yoyote ya kazi sehemu yoyote Tanzania

    Kalime na kufuga kijijini.
  8. Kusena

    JamiiForums Tanzania Kwanini shule za kiislamu hazifanyi vizuri katika mitihani ya taifa?

    Waacheni wafundishwe swalah tuh
  9. Kusena

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume tusilaumiwe kwa kutongoza watu wetu wa karibu ( wanawake )

    Mungu anisamahe Sana enzi hizo, kabla sijampata Mungu moyoni mwangu. Nilikua wanawake kadhaa wabaya kwa Sura, but ukaribu wa miezi kadhaa ukawafanya wawe wazuri kwangu. Ilinitokea two times kwa wanawake wabaya kwa Sura. Na NI watamu kweli kweli, ukizama hutoki🤣
  10. Kusena

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya graduates hawako serious katika suala la kutafuta ajira

    Kwisha habari 😀😀
  11. Kusena

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya graduates hawako serious katika suala la kutafuta ajira

    Sawa. Vipi swala la kuniconnect nipate kazi mkuu au ndio nikomae na kilimo
  12. Kusena

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya graduates hawako serious katika suala la kutafuta ajira

    Kwani ni nini maana ya kuweka no ya simu pale mkuu niconect na ajira boss.
  13. Kusena

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya graduates hawako serious katika suala la kutafuta ajira

    Msiwatetee watu kuna some people ukiwatumia email ndio kabisaaa heri kumpigia. NI Mimi jobless
Back
Top Bottom