Hapo ndio utajuwa kwamba % huwa inazidi 100. Ni mazingira kama hayo. Poleni sana wafanya biashara katika eneo hilo kwa ongezeko la zaidi ya 330%.
Kiuchumi hii ina maana kubwa sana.
Yapo maeneo machache bado uhitaji upo japo siyo Mkubwa, lakini maeneo mengi hakuna uhitaji wa walimu w arts. Na jambo kama hili ni lakawaida kabisa haya ndiyo maendeleo yenyewe ambayo tumekuwa tunayapigania tangu Uhuru (1961). Zamani ilikuwa mtu akihitim chuo lazima apate kazi bila kujali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.