Chuo kama DIT unakuta asubuhi hadi asubuhi ni story za siasa tu. Hao ndo wanategemewa kuja kuwa kama Steve Jobs

Masikini mjanja

JF-Expert Member
Oct 13, 2017
232
378
Wakuu nilitegemea chuo kama DIT wawe bize hata kujaribu kutengeneza baadhi ya software au basi wawe bise kudiscus vumbuzi mbali mbali.

Au basi wawe bize kufuatilia Teknolojia za wenzao huko mbele.

Cha ajabu wanafunzi wako bise sana na siasa asubuhi hadi Jioni, Chuoni kuna matawi ya vyama yaani ukikuta wame break basi utakuta ni story za Siasa.

Nilitembelea jamaa yangu pale mpaka naondoka sikukutana au kuona wakiongelea story za teknolojia.

Tuna kazi sana.
 
Huu ni ugonjwa mbaya sana umeingia nchini na unatafuna sana akili za vijana wetu. Young people are betting with their life.... bad enough no one is talking of works...au biashara...au fursa....kinazaliwa kixaxi cha vibarua.
 
Huu ni ugonjwa mbaya sana umeingia nchini na unatafuna sana akili za vijana wetu. Young people are betting with their life.... bad enough no one is talking of works...au biashara...au fursa....kinazaliwa kixaxi cha vibarua.
Na wewe umeamua kumsapoti wote ni wajinga mbona chuo kimetulia tu.labda mtoa mada alimtembelea mmachinga wake anayeishi hapa chuo.
 
:D:D na wewe kwanzia asubuhi hadi jioni unazunguka DIT wakati siyo mwanafunzi wa pale unaangalia tu wanafunzi wanavyoongea!? :rolleyes:Au ulitega camera halaf ukaenda kupiga mishe za kukuingizia pesa!?
 
Hizo ni dalili za kukosa imani na serikali. Raia wasio na imani na serikali hutumia muda mwingi kujadili siasa kuliko kufanya kazi.
 
Mkuu, kuanzia leo naomba ubadilishe id, husijiite maskin mjanja... we ni maskini wa fikra..

Kwa mabadiliko makubwa ya kisiasa nchini ambayo yanaweza kuwa chanya au hasi... hakuna mtu anayeweza kumaliza siku, bila kugusia habar ya kisiasa....
 
Wakuu nilitegemea chuo kama DIT wawe bise hata kujaribu kutengeneza baadhi ya software au basi wawe bise kudiscus vumbuzi mbali mbali.

Au basi wawe bise kufuatilia Techinilojia za wenzao huko Mbele.

Cha ajabu wanafunzia wako bise sana na siasa asubuhi hadi Jioni, Chuoni kuna matawi ya vyama yaani ukikuta wame Break basi utakuta ni story za Siasa.

Nilitembela jamaa angu pale mpaka naondoka sikukutana au kuona wakiongelea story za Techinolonia.

Tuna kazi sana.
Ni nani nchi hii ambae haongelei siasa...? Makazini,vyuoni,sokoni kila mtu anaongea siasa.
Umetoa mada as if DIT pekee ndio wanaongelea siasa zaid kuliko vyuo vingine.. tenmbeelea university zingine uone
 
Ka wanaongea wao siasa we ni nani hadi unawashwa Washwa . Fata yako, temana na umbea mbea
 
Wakuu nilitegemea chuo kama DIT wawe bise hata kujaribu kutengeneza baadhi ya software au basi wawe bise kudiscus vumbuzi mbali mbali.

Au basi wawe bise kufuatilia Techinilojia za wenzao huko Mbele.

Cha ajabu wanafunzia wako bise sana na siasa asubuhi hadi Jioni, Chuoni kuna matawi ya vyama yaani ukikuta wame Break basi utakuta ni story za Siasa.

Nilitembela jamaa angu pale mpaka naondoka sikukutana au kuona wakiongelea story za Techinolonia.

Tuna kazi sana.
Siasa hulipa na kwa mfumo tulionao Steve Job ni ndoto za Abunuwas
 
Acha majungu dogo acha vijana wamsifu Rais wao kwa Utumishi uliotukuka.
 
walikuwa wana zungumzia chama gani ilituwapime kama wana ugonjwa wa frustration!!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom