ucku ni muda wako mzuri kumfanya kesho akukumbuke nakutamani kukuona tena
na kikubwa ni upendo wa kweli coz alama haina umuhmu watu wengi wanaibiwa na hawajui.
jamaa hajampenda huyo dada
ila pia
ni vyema wamewekana wazi huenda mungu hakupanga wawe pamoja
huyo dada aachane nae kwanza mwaka mmoja hawawezi wakawa wamezama kiasi hicho especialy kwa mdada
Gazeti
achana na hizo mambo
mwambie haiwezdkani
mbegu zako ni za muhmu kweki c kugawa kama pipi
pia baadae utakuja mtamani huyo mtoto uje uzuke ugomvi
kingne kuna hili gonjwa letu.
kazi kwako.
analaumiwa mke sababu inaaminika mke anatakiwa kuwa mvumilivu ingawa si vyema sana akavumilia ambayo hayavumiliki kwani nae anakwao
angalia maisha ya wazungu yalivyo
mmeshndwana mnaachana kwa amani
sisi mmh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.