Recent content by Kungwi

  1. K

    JamiiForums Tanzania Alama gani unamwachia mpenzi/mwenza wako?

    ucku ni muda wako mzuri kumfanya kesho akukumbuke nakutamani kukuona tena na kikubwa ni upendo wa kweli coz alama haina umuhmu watu wengi wanaibiwa na hawajui.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa huyu rafiki

    jamaa hajampenda huyo dada ila pia ni vyema wamewekana wazi huenda mungu hakupanga wawe pamoja huyo dada aachane nae kwanza mwaka mmoja hawawezi wakawa wamezama kiasi hicho especialy kwa mdada
  3. K

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu anataka nifanye tendo la ndoa na mkewe!

    Gazeti achana na hizo mambo mwambie haiwezdkani mbegu zako ni za muhmu kweki c kugawa kama pipi pia baadae utakuja mtamani huyo mtoto uje uzuke ugomvi kingne kuna hili gonjwa letu. kazi kwako.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini kila ndoa inayovunjika lawama anatupiwa mwanamke!!!!!

    hata wanawake wanaoweza kuwa na kila mwanaume wapo inabdi tufanye mpango waoane ili wawashiane moto
  5. K

    JamiiForums Tanzania Kwani ni lazima wanawake wadeke?

    mbona hata nyie wa baba mbona mnadka sana?
  6. K

    JamiiForums Tanzania Kwanini kila ndoa inayovunjika lawama anatupiwa mwanamke!!!!!

    analaumiwa mke sababu inaaminika mke anatakiwa kuwa mvumilivu ingawa si vyema sana akavumilia ambayo hayavumiliki kwani nae anakwao angalia maisha ya wazungu yalivyo mmeshndwana mnaachana kwa amani sisi mmh
  7. K

    JamiiForums Tanzania Je? Mwanamke anayejiuza anaweza kuwa mke mwema zaidi ya yule ambaye hajiuzi?

    ni kheri malaya kuliko anaejifanya mwema.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Wanaume inakuwaje hamridhiki na wake zenu?

    Jamani changieni.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Hello

    akhsante sana sangara
  10. K

    JamiiForums Tanzania Hello

    akhsante mwali amepumzka waharibifu wamekuwa wengi
  11. K

    JamiiForums Tanzania Anaomba tuachane na sio kutengana!

    wengne wote wataongea ila wewe ndo unajua kama unamuhtaji ama la.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Hello

    Hodi hodi wana jamii
  13. K

    JamiiForums Tanzania How to use JamiiForums effectively

    jamani msaada
Back
Top Bottom