Usamehewe kwa kweli ila siku utakayo kuwa na shida ndo utamkiri yupo.. sasa kama hayupo!! Means hata mnavyoita Allah naye hayupo pia? Wewe unaimani za kifreemason usamehewe mkuuu.
Kama wawaza kimfyekelea mbali safi kwani huo ndo ukomavu wa mapenzi sip kuwa mnyonge..
NB: jitahidi kutokumpenda mpenzi kwa moyo wako wote hayo mapenzi waachie wazazi wako tu my dear.
Nilitaka ona conclusion ya mapenzi yako.. umeamua safi sana funga kurasa piga kazi huyo sio chaguo lako hakuwa anakupenda kabisa..
Rudo kwa wazazi wakp unajua wengi tunawakosea wazazi kisa penzi.. rudi na usioe mtu ambaye mko nje kidin kitofaut kwanza mwanamke ndo humfata mme sio mke jamani...
muhimu atafute maelewano kwani kujishusha kuna maana sana ktk mapenzi na pia shida ya wanaume hawapendi kujishusha bali hupenda wapenzi wao wajishushe hata kama wao ndo wana makosa..
Km wampenda kutoka moyon na mchumba jaman hata familia humjua so atafute watu watakaonusuru hilo penzi lirudi...
Jaman mimi nitakuwa tofaut na wote.. hutu age ishaenda tayar na pesa hajapata na nyumbani ni nyumbani. RUDI tu Tanzania hicho ulichokipata hata km.ni milion yako wewe njoo tu kwani kwa age yako utarudi maiti home.. rudi tu.. but kwani kampuni ulonayo hawatoi hela ya wastaafu hukuajiliwa??? Ndugu...
Sip 18000 ni 1800 jamani hata nashindwa elewa alikuwa anafanya kazi gani huko na yaonesha alikuwa mtu wa starehe sana sio siri imagine kama.msichana wa kazi za ndani anakaa miaka miwili na akirudi anarudi na ana kiwanja why yeye jamani''
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.