Recent content by kunguu

  1. K

    Wakala wa REA Kanda ya Kaskazini, utasababisha kuikosesha CCM kushinda kwenye kijiji cha Lugulu kilichopo halmashauri ya Same

    Ujumbe kwa CCM ,na mbunge wa Same mashariki, wakala REA kanda ya kaskazini ameshindwa kukiunganishia umeme kijiji cha Lugulu kilichopo halmashauri ya same, Wananchi wanalamika sana kua wao wamekua wakidanganywa kila kipindi cha uchaguzi kinapokaribia kua wataunganishiwa umeme, ahadi ambayo Tangu...
  2. K

    Hii ndio hali ya Bumbuli ambayo Mbunge wake ni Waziri wa Mambo ya nje ya Nchi

    Bumbuli sio wilaya,ila ipo wilaya ya lushoto, lushoto ina majimbo matatu, mlalo,lushoto mjini na bumbuli ,pia kuna halmashauri mbili ,hamshauri ya (w) lushoto na halmashauri ya bumbuli
  3. K

    Nimeamua sasa kuachana na ualimu na kwenda kusoma

    Komaaa uhamie dar ,achana na mambo yakusoma
  4. K

    Makalla atua Katavi na kusema Watasikiliza kero za Wananchi lakini siyo zile zilizopo Mahakamani

    Mkuu hivi makala anawezaje kuingilia kesi ambazo zipo mahakamani ? Bc tuseme hamna haja yakua namahakama ,makala yupo sahihi
  5. K

    Naomba kujuzwa dawa ya maumivu ya mguu kwenye mfupa

    Kule kijijini kwetu kuna mzee anatibu kiienyeji yupo vizuri ,Nakumbuka mama yangu mdogo alikuja kijijini kipindi cha nyuma akapata ajali alikua amepakia pikipiki akaangushwa na bodaboda akavunjika mguu yule mzee alimtibu na ndani ya miez 3 akawa yupo vizur
  6. K

    Biteko awataka Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati kuacha kufanya kazi kwa mazoea

    Huku kwetu kijiji cha LUGULU same mashariki bado hatujauunganishwa na REA ,
  7. K

    Kwanini haya yanafanyika Zanzibar?

    Lete ushahidi ,sio kulalama bila ushahidi
Back
Top Bottom