Recent content by kunguu

  1. K

    Camfed ni nini? Anae wafahamu Camfed vizuri afunguke

    Hadi mtoto anaingizwa kwenye mpango huu ,alihojiwa na ikaazibitika kua anaishi mazingira magumu,
  2. K

    Nahitaji kueezeka nyumba ni ushauri gani utanifaa

    Lakini bati hazilingani upana? Zip zeny 75,81, 91 had 110cmt hapo vip msaada?
  3. K

    Nahitaji kueezeka nyumba ni ushauri gani utanifaa

    Mbao yq mkaratusi vipi?
  4. K

    Nimecheka sana hili bango nililoona hapa Korogwe mjini -Tanga

    Kwakweli Mama amejitahidi sana hasa kwenye elimu , na afya amejenga madarasa ,vituo vingi vya Afya . Hiyo barabara haipo Korogwe
  5. K

    Sabato njema wapendwa| sda songs thread

    Happy sabath
  6. K

    PreGE2025 Rais Samia: Nilimpiga kikofi January leo namrudisha kwa mama

    Kwakweli mama samia yupo vizuri sana,leo nimeshuhudia mradi mkubwa wa bwawa la umwagiliaji mkomazi niseme tu hongera sana mama ,octobar hatutakuangusha ,Mungu akubariki na akupe maisha marefu
  7. K

    Watumishi waagizwa kumtafutia kura Rais Samia 2025

    Kwakweli mama kafanya mengi sana kwa watumishi hatutakuangusha mama
  8. K

    BIL 18. 5 kusambaza umeme K'njaro

    Kuna vijiji havina umeme hasa wilaya ya same
  9. K

    Kuwa mwanachama hai wa CCM ni fursa ya kipekee sana kwa wewe mzalendo kutimiza wajibu wako kwa taifa lako na ndoto zako katika maisha yako

    "]Mm nlijiunga kupitia app ya ccm ila sasa ni miaka miwili sijapata kadi yangu
  10. K

    Wakala wa REA Kanda ya Kaskazini, utasababisha kuikosesha CCM kushinda kwenye kijiji cha Lugulu kilichopo halmashauri ya Same

    Ujumbe kwa CCM ,na mbunge wa Same mashariki, wakala REA kanda ya kaskazini ameshindwa kukiunganishia umeme kijiji cha Lugulu kilichopo halmashauri ya same, Wananchi wanalamika sana kua wao wamekua wakidanganywa kila kipindi cha uchaguzi kinapokaribia kua wataunganishiwa umeme, ahadi ambayo Tangu...
  11. K

    Hii ndio hali ya Bumbuli ambayo Mbunge wake ni Waziri wa Mambo ya nje ya Nchi

    Bumbuli sio wilaya,ila ipo wilaya ya lushoto, lushoto ina majimbo matatu, mlalo,lushoto mjini na bumbuli ,pia kuna halmashauri mbili ,hamshauri ya (w) lushoto na halmashauri ya bumbuli
Back
Top Bottom