Kwakweli mama samia yupo vizuri sana,leo nimeshuhudia mradi mkubwa wa bwawa la umwagiliaji mkomazi niseme tu hongera sana mama ,octobar hatutakuangusha ,Mungu akubariki na akupe maisha marefu
Ujumbe kwa CCM ,na mbunge wa Same mashariki, wakala REA kanda ya kaskazini ameshindwa kukiunganishia umeme kijiji cha Lugulu kilichopo halmashauri ya same, Wananchi wanalamika sana kua wao wamekua wakidanganywa kila kipindi cha uchaguzi kinapokaribia kua wataunganishiwa umeme, ahadi ambayo Tangu...
Bumbuli sio wilaya,ila ipo wilaya ya lushoto, lushoto ina majimbo matatu, mlalo,lushoto mjini na bumbuli ,pia kuna halmashauri mbili ,hamshauri ya (w) lushoto na halmashauri ya bumbuli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.