Ujumbe kwa CCM ,na mbunge wa Same mashariki, wakala REA kanda ya kaskazini ameshindwa kukiunganishia umeme kijiji cha Lugulu kilichopo halmashauri ya same, Wananchi wanalamika sana kua wao wamekua wakidanganywa kila kipindi cha uchaguzi kinapokaribia kua wataunganishiwa umeme, ahadi ambayo Tangu...
Bumbuli sio wilaya,ila ipo wilaya ya lushoto, lushoto ina majimbo matatu, mlalo,lushoto mjini na bumbuli ,pia kuna halmashauri mbili ,hamshauri ya (w) lushoto na halmashauri ya bumbuli
Kule kijijini kwetu kuna mzee anatibu kiienyeji yupo vizuri ,Nakumbuka mama yangu mdogo alikuja kijijini kipindi cha nyuma akapata ajali alikua amepakia pikipiki akaangushwa na bodaboda akavunjika mguu yule mzee alimtibu na ndani ya miez 3 akawa yupo vizur
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.