Recent content by Kungurumweupe

  1. K

    JamiiForums Tanzania UKAWA vs CCM katika urais, piga Kura hapa

    Lowassa
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kwa Wapenda maendeleo Kutoka Jimbo la Busega (CHADEMA)

    My plan ni kwamba kabla mwaka huu haujaisha nitaweka kambi kwa miezi kadhaa jimboni Busega kwa lengo la kueneza elimu ya URAIA na M4C. Nilimwamini sana Dr Kamani lakini nimebaini kwamba hataweza kuwakomboa wanabusega kwasababu mazingira aliyonayo ndani ya ccm hayam-support kuleta ukombozi wa kweli.
  3. K

    JamiiForums Tanzania GE2010 Kwanini ni vigumu kuiba kura katika Uchaguzi Wetu - Tusitafute visingizio

    Well said! Hakika wewe umemwelewa Mwanakijiji kama mimi nilivyomwelewa!
  4. K

    JamiiForums Tanzania GE2010 Kwanini ni vigumu kuiba kura katika Uchaguzi Wetu - Tusitafute visingizio

    Mwanakijiji, Nakubaliana na maelezo yako kwamba, kuiba kura ni kazi ngumu ikiwa tu mawakala watakuwa wazalendo wa kweli. Lakini naomba nikwambie kwamba uchakachuwaji wa kura za Rais ni rahisi sana kufanyika na hufanywa na wasimamizi wa majimbo. Na ndiyo sababu kubwa ya tume kuzuia kura za...
  5. K

    JamiiForums Tanzania GE2010 Dr Slaa ITV Live sasa

    Kwani Padre siyo msomi?!!
  6. K

    JamiiForums Tanzania GE2010 PEMBETATU YA USHINDI: Kuelekea kuyatikisa Malango ya CCM

    Mzee Mwnakijiji, tafadhali tuambie hayo mambo matatu au manne ambayo Chadema wanatakiwa kuyafanya ili ushindi uwe ni lazima! Fanya hivyo kwa ukombozi wa Taifa zima. Please!
  7. K

    JamiiForums Tanzania GE2010 CHADEMA stop the campaigns NOW!!!!

    Nakubaliana na mtoa mada kwamba Chadema kama wanataka ushindi ni lazima wajipange kulinda vituo vyote vya kupigia kura, hata vile ambavyo hawajasimamisha wagombea wa udiwani au ubunge. Ni lazima waandae timu ya walinzi wa kura kila kituo watakaofanya kazi ya ulinzi kwa muda wote na wasiondoke...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Video: Si kuibiwa ni kuzidiwa!

    Kuna habari za kuaminika kwamba Josephine alilazimika kutengana na mzazi mwenzake kwa kile kinachosemekana kwamba ni tabia ya kinyama na kiuwaji ya huyo jamaa yake, kwamba amewahi kumkuta mara kadhaa akilazimisha kumwingilia kimwili (kumunajisi) mtoto wao mkubwa kwa kile alichoamini kwamba si...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Kikwete: In Black And White

    A: Hii inatoka: Jakaya Kikwete - Wikipedia, the free encyclopedia Jakaya Mrisho Kikwete (born October 7, 1950) is a Tanzanian politician, the fourth and current President of the United Republic of Tanzania. Kikwete was born in Msoga, Bagamoyo District, Tanganyika in present day Tanzania...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Siku salama ya tendo la ndoa

    Yes! But you have to face her bleed!!
  11. K

    JamiiForums Tanzania Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

    Sinyolita, You can do it at any time on the 15th day! Remember, it needs a healthy man to score only a single goal to fertilize the eggy because we only need a single healthy sperm out of millions he can produce at once! Doing it once on the 15th day will most likely give you a baby boy...
  12. K

    JamiiForums Tanzania Siku salama ya tendo la ndoa

    Penny, You will never ever find a woman with such an irregular cycle as you described above!! Please don't complicate the lesson!
  13. K

    JamiiForums Tanzania Mufti Simba aagiza Waislamu waikatae CCM

    Namuunga mkono mzee Simba kwa hoja yake ya kuwataka waislamu wasiipigie kura ccm kwa sababu ninatamani sana kuiona ccm ikifa kifo cha mende! Nawaomba viongozi wa dini za kikristo nao waanzishe hoja kama hiyo kwa waumini wao ya kutoipigia kura ccm 2010! Hapo ukombozi wa watz utakuwa...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Siku salama ya tendo la ndoa

    For a woman with cycle length of 28 days, her fertile day is day14. Theoretically, a sperm can survive for about 3days waiting for an eggy, so in order to be more safe she can do it on any green day as shown below. She must not do it on the red and yellow days! day1, day2, day3, day4, day5...
Back
Top Bottom