Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,682
AAH Jamaa zangu wananiambia umeme umekatika kabla ya kipindi kwisha, halafu umerudishwa baada ya kipindi. Haya mambo haya.....
kama vipi mengi atarudia kipindi si washamjeruhi?
AAH Jamaa zangu wananiambia umeme umekatika kabla ya kipindi kwisha, halafu umerudishwa baada ya kipindi. Haya mambo haya.....
Naona mtangazaji kamfuata mzee shinyanga, endeleeni kuona rais mtarajiwa akimwaga sera
Hivi wasomi wote hao mpaka tuongozwe na Padre?
Hivi wasomi wote hao mpaka tuongozwe na Padre?
kwa sasa jk anajipya anachofanya nikuahidi kila kukicha ameona maji yana mfika shingoni
Hivi wasomi wote hao mpaka tuongozwe na Padre?
Kwani Padre siyo msomi?!!
Hivi wasomi wote hao mpaka tuongozwe na Padre?