Hebu fuatilia kwa makini thread hii Tarehe 13 &14 ndo mimba inaweza kutungwa.....habari ndugu wadau wa JF!
ninaomba kwa heshima na taadhima kuwasilisha swala la ni lini au siku gani ni salama kwa mwanamke kufanya mapenzi bila kinga na asipate ujauzito?
nawasilisha.
Hebu fuatilia kwa makini thread hii Tarehe 13 &14 ndo mimba inaweza kutungwa.....
okey nimeshapitia mkuu,
thanks
ila maelezo yake bado hayako straight according to my doubt, kama vile ninavyohitaji
humo wameongelea zaidi KUPATA MIMBA, na mie nauliza zaidi kuhusu KUTOKUPATA MIMBA ndani ya mzunguko
Hebu fuatilia kwa makini thread hii Tarehe 13 &14 ndo mimba inaweza kutungwa.....
maana yake ni kwamba kama ukifanya before hizo tarehe then automatically hakuna mimba mbona ipo clear?
tarehe zilizotajwa ni danger zone kwa hiyo kuziepuka ni kwenda visevesa ama siyo mkuu.
OK na kama siku zako zinaruka ruka mara this month umeenda 24 days next month 27, 22, 32... inakuwaje sasa.For a woman with cycle length of 28 days, her fertile day is day14. Theoretically, a sperm can survive for about 3days waiting for an eggy, so in order to be more safe she can do it on any green day as shown below. She must not do it on the red and yellow days!
day1, day2, day3, day4, day5, day6, day7, day8, day9,day10, day11, day12, day13, day14, day15, day16, day17, day18, day19, day20, day21, day22, day23, day24, day25, day26, day27, day28.
So the most important thing here is to pinpoint your fertile day!
Maswali yako yote hayo pamoja na mengine yanapatikana katika thread hii.OK na kama siku zako zinaruka ruka mara this month umeenda 24 days next month 27, 22, 32... inakuwaje sasa.
Poa lakini hapo ckupataga jibu.Maswali yako yote hayo pamoja na mengine yanapatikana katika thread hii.
HEBU BOFYA HAPA fuatilia kurasa zote katika link hiyo utapata majibu maana ilijadiliwa kwa kirefu sana. Au sio Penny?
okey nimeshapitia mkuu,
thanks
ila maelezo yake bado hayako straight according to my doubt, kama vile ninavyohitaji
humo wameongelea zaidi KUPATA MIMBA, na mie nauliza zaidi kuhusu KUTOKUPATA MIMBA ndani ya mzunguko
OK na kama siku zako zinaruka ruka mara this month umeenda 24 days next month 27, 22, 32... inakuwaje sasa.
habari ndugu wadau wa JF!
ninaomba kwa heshima na taadhima kuwasilisha swala la ni lini au siku gani ni salama kwa mwanamke kufanya mapenzi bila kinga na asipate ujauzito?
nawasilisha.
Siku tatu za mwanzo!
Yes! But you have to face her bleed!!