Negotiator
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 303
- 44
Dawa ni kukaa mita mia moja kutoka kituoni kulinda wasilete kura feki na kuziingiza ndani
Kweli wanatakiwa mawakala walio na moyo wa uzalendo, hapa tu ndio ccm wanaposubiri kuwashangaza watu wanaotegemea kuona mabadiliko.
hata ukae mita kumi mazee... wanaotumika ni wanawake, tena wamejitanda kanga na ushungi na huruhusiwi kumkagua... walishapraktis na imelipa maeneo fulani ya tanganyikaDawa ni kukaa mita mia moja kutoka kituoni kulinda wasilete kura feki na kuziingiza ndani
Kweli wanatakiwa mawakala walio na moyo wa uzalendo, hapa tu ndio ccm wanaposubiri kuwashangaza watu wanaotegemea kuona mabadiliko.
Yes. Insemekana wameshaandaa mabilioni kwa kazi hiyo. Hata hivyo inabidi tufanye kila linalowezekana kuifanya hiyo kazi ngumu. majimboni, waandaliwe wapiganaji wa kupita kila kituo kuangalia hali halisi siku ya kampeni (pikipiki inatosha kwa kazi hiyo). Camera (za kawaida au za simu), ziwepo standby, hasa yale maeneo korofi, kurekodi hali au tukio lolote linalotia mashaka
CHADEMA people, where are you? Toeni mbinu bw. saa nane naenda kwenye kikao cha kujipanga kwenye jimbo letu. Nipeni inputs za kwenda kudiscuss huko...