Recent content by Kunguru Mjanja

  1. Kunguru Mjanja

    GE2025 “Mimi ndiye Rais” “Mimi ndiye Amiri Jeshi Mkuu”. Maneno haya wanayatumia vibaya kuanzia Jakaya, Magufuli na sasa Samia

    “Any man who must say, ‘I am the King,’ is no true King” - Tywin Lannister (Game of Thrones)
  2. Kunguru Mjanja

    Historia ya Mwembe wa Ikulu (Mwembe wa Muungano) uliopandwa na Mwalimu Nyerere pamoja na Abeid Karume

    Katika viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salaam, kuna mwembe mkubwa wenye historia ya kipekee. Mwembe huu, unaotarajiwa kutimiza miaka 61 mnamo Aprili 2024, haujulikani sana kwa wengi. Mti huo ulipandwa tarehe 26 Aprili 1964 kama sehemu ya kumbukumbu maalum ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar...
  3. Kunguru Mjanja

    Ifahamu Tabora Hotel (Orion Tabora Hotel) yenye kubeba historia kubwa ya Ukoloni na harakati za Uhuru

    Tabora Hotel, ambayo kwa sasa inajulikana kama Orion Tabora Hotel, ina historia ndefu na ya kipekee inayohusiana na mabadiliko ya kisiasa, kiuchumi, na kitamaduni nchini Tanzania kwa zaidi ya karne moja. Iko katika mji wa Tabora, hoteli hii inachukuliwa kuwa moja ya majengo ya kihistoria...
  4. Kunguru Mjanja

    Uzi Maalum: Wazazi tujuzane games na cartoons zisizofaa kwa Watoto wetu ili tuwalinde na kuwasaidia

    Utofauti si kwenye biolojia ya watoto ila mazingira yalivyo kwa kipindi kile na hiki. Utandawazi na teknolojia kwa sasa imekua sana…mfano zamani watoto walikuwa wanacheza nje ila kwa sasa ukimwambia wako acheze nje si ajabu atajikuta mwenyewe
  5. Kunguru Mjanja

    Uzi Maalum: Wazazi tujuzane games na cartoons zisizofaa kwa Watoto wetu ili tuwalinde na kuwasaidia

    Shida kwa sasa mambo yamebadilika sana, malezi ya mtoto aliyezaliwa miaka ya ‘90 na mtoto aliyezaliwa miaka hii ya 2000 ni tofauti mno
  6. Kunguru Mjanja

    Uzi Maalum: Wazazi tujuzane games na cartoons zisizofaa kwa Watoto wetu ili tuwalinde na kuwasaidia

    Leo nimekaa nimewaza sana kuna games watoto wetu wanacheza siku hizi ila nyingi zina hatari sana. Games nyingi siku hizi wanacheza online na zinawakutanisha na watu wasio wajua kabisa. Hii ni hatari sana Lakini pia siku hizi haya hizi games na cartoons zimekuwa na maudhuni ya ajabu mengi...
  7. Kunguru Mjanja

    Mgongano: Uchunguzi wa Kifo cha Mwandishi wa Habari, John Ntwali - Aliyewindwa na Mamlaka za Rwanda

    Ka-nchi kadogo, Rais ana mwili mdogo ila yanayoendelea humo ndani ya nchi ni balaaa
  8. Kunguru Mjanja

    Kauli gani kutoka kwa mwanasiasa ilikuvunja moyo kufatilia mambo ya siasa?

    Unashika Dola halafu unatumia Dola kubaki kwenye Dola, bila Dola hurudi Madarakani ukitoka
  9. Kunguru Mjanja

    Teuzi ya Maxence Melo, ina maana gani kwa JF na wanachama wake?

    Nashangaa sana kwa namna watu wanavyodhani Melo amewekwa mfukoni kisa kuwa Mjumbe wa Bodi ya Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi. Watu wanasahau mapema sana Melo ndio amekuwa mstari wa mbele kabisa kupigania Ulinzi wa Taarifa Binafsi hadi kuwepo kwa sheria na Kanuni zake, kwa nafasi hiyo naamini...
  10. Kunguru Mjanja

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Data za Enzo kwenye msimu huu…ila dogo amechoka, anacheza soka msimu wa 3 mfululizo huu
  11. Kunguru Mjanja

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Pep anasema dogo aling’ang’ania kuondoka hata alipoambiwa kuwa Mahrez anasepa bado akataka kuondoka
Back
Top Bottom