Recent content by kungubaya

  1. K

    JamiiForums Tanzania PICHA: Nitazunguka nchi nzima kupiga debe wakati wa mabadiliko ya katiba ili kuondoa Ukomo wa Urais

    Hawa ndio walio fika kwa msaada wa watu wa Treni
  2. K

    JamiiForums Tanzania Je, wakazi wa Mbagala wataweza kutunza mabasi ya mwendokasi yenye viyoyozi na WiFi?

    Bora hata ya kimara wapewe wa mbagala kwanza waanze kupata uzoefu
  3. K

    JamiiForums Tanzania Nime install app ya X (Twitter) lakini haifunguki. Msaada

    Hiyo mpaka uwe support VPN app ndio inafunguka, mengine utajuana nayo huko huko
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kuna foleni kubwa sana maeneno ya Ruvu Pwani inayosababishwa na matengenezo ya muda mrefu ya Daraja

    Kipande cha chalinze mpaka maili moja kukesha ni jambo la kawaida
  5. K

    JamiiForums Tanzania Huko X(twitter) kinachovuma ni Trump kung'ata shuka

    Akirudi hadharani mtasema ni CLONE
  6. K

    JamiiForums Tanzania Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Hatimae aquos zero 6 5G imekubali kupokea android version 13, sii badilishi mpaka HOT 60 PRO + inifikie
  7. K

    JamiiForums Tanzania Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Ndio mimi nimekupa hiyo feed back ulio taka! Hii simu imezidiwa na ANDOIR VERSIO na BATTERY tu, ukilinganisha na simu nyingi matoleo ya sasa!, ila tofauti na vigezo hivyo, hakuna simu ya level yake unaweza fanananishana nayo
  8. K

    JamiiForums Tanzania Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Natumia aquous zero 6 5G natamani kubadilisha simu ila sijaona ya kui compete kwa simu za grade yake tena za kisasa, kwanza refresh rate 120 na kuendelea kitu ambacho sijaona kwenye simu nyingi hata kwa baadhi ya matoleo mapya, na kitakacho nifanya ni badilishe hii simu ni android version tu na...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Hivi hii jitegemee holding inayochimba makaa ya mawe huko Ruvuma inayomilikiwa na ccm inalipa kodi kweli?

    Ya gizani yamenuliwa, kama makaa ya mawe yalikua hayaongelewi kabisa, ila sasa moto una waka
  10. K

    JamiiForums Tanzania Mwanzoni nilifikiri ni Utani, ikageuka Kero na Sasa nimegundua ni kweli Na kuukubali

    Mungu ni mwema tope hilo halijapata nafasi kichwani kwangu 🤭
  11. K

    JamiiForums Tanzania Mwanzoni nilifikiri ni Utani, ikageuka Kero na Sasa nimegundua ni kweli Na kuukubali

    Siamini kama nimesoma huu ujinga
  12. K

    JamiiForums Tanzania Naomba Msaada: Nyumba yetu inakaribia kuuzwa

    Msi mjibu kwa sababu ni mtoto wa kike! Mjibuni kwa viatu vya huyo mtoto wa kiume mmoja maana huyo ndio mwenye mji
Back
Top Bottom