Aisee njoo brother nikushauri ,nitakulengesha kila hatua. ila utanilipa 1M for consultation and showing you bussiness channels .then tuingie agreement ya 6% of your annual profit.only for first year.
my friend wewe ni millionea and after 8 months you will become a billionea ,Displine katika pesa...
Wadau msipuuzie huo ujumbe ,hizi habari ni za kweli .ninathibitisha mimi pia jana walinipigia.msichoke kuwa karibu na simu zenu huenda mkapigiwa siunajua tulikua post nyingi na watu wengi, na mitihani ilikuwa rahisi vile.
acheni niwe balozi wa WCF kwenu ,inawezekana hawa jamaa wapo FAIR. Namba...
Hivi hawa WCF wana nini? maana written interview ilifanyika kwa namba ,na walisema majibu watatoa kwa zile namba ,sasa ni zaidi ya mwezi wa pili wengine tushapoteza hata tulipoziandika zile namba.sijui wana nia gani hawa jamaa?
Hivi kweli maswali ya paper ya written yanatosha kua ni kigezo cha kuchuja waombaji .
Ma auditor wanaofanya statutory audits and other engagement,wanapewa maswali ya economics na statistics.wangesema basi kwenye tangazo tunataka watu wa economics.
Tunajua wanahitaji watu wa economics ,civil...
hakuna lolote wewe umepewa maswali .degree si sawa na diploma.post gani? IT assistant ? hiyo kazi ya diploma kweli .degree ni degree broo.siwezi kukwambia hongera.kwa kua najua hata hizo kazi utaenda haribu tu.ufanye kazi ya mtu wa DEGREE thubutuuuuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.