Fuga Kisasa
Senior Member
- Jan 16, 2016
- 165
- 91
.......
Kuna watu hapa uongo wa kitoto sio fani yetu . Angalia ni member toka lini na km ninahusika na upuuzi wowote hapa jamvini. Ukipitia hii thread utagundua watu kadhaa wamepigiwa. Paper ilikuwa ngumu ile kwahiyo wewe jipange kwa wakati mwingine.Mkuu ni kweli nilithibitisha hivyo na nilisema TAKUKURU walituma vijana kufanya uchunguzi. Ninachotaka kuthibitisha ni nani amepigiwa simu leo ? Na kama amepigiwa kaambiwa interview lini na wapi? Tatizo watu wamekua waongo sana. Aliyepigiwa ajitokeze hapa aseme....
Ni lini siku ya 0ralWorkers compensation fund wanaita watu kwenye oral kwa wale wasailiwa wa mwezi March 2017.
Ni kweli Mkuu hata mm nimepigiwa jana na Landline inaishia na 8 mwisho.Mkuu ni kweli nilithibitisha hivyo na nilisema TAKUKURU walituma vijana kufanya uchunguzi. Ninachotaka kuthibitisha ni nani amepigiwa simu leo ? Na kama amepigiwa kaambiwa interview lini na wapi? Tatizo watu wamekua waongo sana. Aliyepigiwa ajitokeze hapa aseme....
Wadau msipuuzie huo ujumbe ,hizi habari ni za kweli .ninathibitisha mimi pia jana walinipigia.msichoke kuwa karibu na simu zenu huenda mkapigiwa siunajua tulikua post nyingi na watu wengi, na mitihani ilikuwa rahisi vile.
acheni niwe balozi wa WCF kwenu ,inawezekana hawa jamaa wapo FAIR. Namba waliyotumia ni 022.....08 kuna sauti ya nyororo itakuwa inakupa wito wa interview katika tarehe utakayopangiwa.
nimepigiwa na dume, jana mida ya saa 8 mchanaBasi mkuu nimeamini...... idadi ni kubwa wanaosema wamepigiwa . Wengi wape. Asanteni kwa taarifaNi kweli Mkuu hata mm nimepigiwa jana na Landline inaishia na 8 mwisho.
Interview ni July.
😛😛😛 umepigiwa na dume ,una bahati mbaya (jokes)![]()
nimepigiwa na dume, jana mida ya saa 8 mchana
tion gani?Wadau msipuuzie huo ujumbe ,hizi habari ni za kweli .ninathibitisha mimi pia jana walinipigia.msichoke kuwa karibu na simu zenu huenda mkapigiwa siunajua tulikua post nyingi na watu wengi, na mitihani ilikuwa rahisi vile.
acheni niwe balozi wa WCF kwenu ,inawezekana hawa jamaa wapo FAIR. Namba waliyotumia ni 022.....08 kuna sauti ya nyororo itakuwa inakupa wito wa interview katika tarehe utakayopangiwa.
mkuu na wewe position gani ?![]()
nimepigiwa na dume, jana mida ya saa 8 mchana
acha kukatisha watu tamaa hata km ni formality mwisho wa siku ukweli utajulikanaKaeni kusubili simu za ORAL interview kuna watu wamepigiwa kwenda kusaini mikataba , hizo ORAL ni formality...amken watanzania...WCF hoyee
We endelea kujipa moyoacha kukatisha watu tamaa hata km ni formality mwisho wa siku ukweli utajulikana