Angalieni simu zenu WCF wanaita

Angalieni simu zenu WCF wanaita

Mimi nimepigwa simu na interview nafanya mwezi wa saba
 
Inawezekana labda teari maana jana website yao ilikua nzito sana
 
Mkuu ni kweli nilithibitisha hivyo na nilisema TAKUKURU walituma vijana kufanya uchunguzi. Ninachotaka kuthibitisha ni nani amepigiwa simu leo ? Na kama amepigiwa kaambiwa interview lini na wapi? Tatizo watu wamekua waongo sana. Aliyepigiwa ajitokeze hapa aseme....
Kuna watu hapa uongo wa kitoto sio fani yetu . Angalia ni member toka lini na km ninahusika na upuuzi wowote hapa jamvini. Ukipitia hii thread utagundua watu kadhaa wamepigiwa. Paper ilikuwa ngumu ile kwahiyo wewe jipange kwa wakati mwingine.
 
Anipe nani hizo habari zaidi ya WCF?
 
Wadau msipuuzie huo ujumbe ,hizi habari ni za kweli .ninathibitisha mimi pia jana walinipigia.msichoke kuwa karibu na simu zenu huenda mkapigiwa siunajua tulikua post nyingi na watu wengi, na mitihani ilikuwa rahisi vile.
acheni niwe balozi wa WCF kwenu ,inawezekana hawa jamaa wapo FAIR. Namba waliyotumia ni 022.....08 kuna sauti ya nyororo itakuwa inakupa wito wa interview katika tarehe utakayopangiwa.
 
Mkuu ni kweli nilithibitisha hivyo na nilisema TAKUKURU walituma vijana kufanya uchunguzi. Ninachotaka kuthibitisha ni nani amepigiwa simu leo ? Na kama amepigiwa kaambiwa interview lini na wapi? Tatizo watu wamekua waongo sana. Aliyepigiwa ajitokeze hapa aseme....
Ni kweli Mkuu hata mm nimepigiwa jana na Landline inaishia na 8 mwisho.
Interview ni July.
 
Wadau msipuuzie huo ujumbe ,hizi habari ni za kweli .ninathibitisha mimi pia jana walinipigia.msichoke kuwa karibu na simu zenu huenda mkapigiwa siunajua tulikua post nyingi na watu wengi, na mitihani ilikuwa rahisi vile.
acheni niwe balozi wa WCF kwenu ,inawezekana hawa jamaa wapo FAIR. Namba waliyotumia ni 022.....08 kuna sauti ya nyororo itakuwa inakupa wito wa interview katika tarehe utakayopangiwa.
nimepigiwa na dume, jana mida ya saa 8 mchana
 
Mkuu uliomba kada/posi
Wadau msipuuzie huo ujumbe ,hizi habari ni za kweli .ninathibitisha mimi pia jana walinipigia.msichoke kuwa karibu na simu zenu huenda mkapigiwa siunajua tulikua post nyingi na watu wengi, na mitihani ilikuwa rahisi vile.
acheni niwe balozi wa WCF kwenu ,inawezekana hawa jamaa wapo FAIR. Namba waliyotumia ni 022.....08 kuna sauti ya nyororo itakuwa inakupa wito wa interview katika tarehe utakayopangiwa.
tion gani?
 
Kaeni kusubili simu za ORAL interview kuna watu wamepigiwa kwenda kusaini mikataba , hizo ORAL ni formality...amken watanzania...WCF hoyee
 
Back
Top Bottom