Recent content by Kumbukumbuyatorati

  1. Kumbukumbuyatorati

    Hii ndiyo ofisi ya Rais wa wanyonge

    Fala wewe unaanza kujisifia kuhusu dada yako, wewe unafanya kazi gani?? Kuna mbupu mnakera sana.
  2. Kumbukumbuyatorati

    Ukurasa wa mabadilishano ya bidhaa mbali mbali (Barter trades)

    Iphone X with iCloud mpya kabisa kubadilishana na simu inayofanana na vifaa vya hiyo simu Sio ya wizi nilipigwa na kikuu baada ya kuagiza mtandaoni.
  3. Kumbukumbuyatorati

    Hotuba ya Rais Magufuli kufungua Bunge la 12: Utumbuaji majipu utaendelea ili kuhakikisha Watumishi wanatenda kazi kwa mujibu wa Sheria na Kanuni

    Mchukue hili huyu dada anaenda kuwa mfanyakazi wa CCM kwa kimvuli cha uwakilishi wa CHADEMA bungeni. KATAMBI anajua hiyo michezo sababu yeye mwenyewe alivutwa kwa ofa nene kukaa na KATAMBI ni pigo kwa CHADEMA.
  4. Kumbukumbuyatorati

    Hivi kwanini Tanga hainyang'anywi hadhi ya kuwa Jiji? Ni sehemu ya ajabu sana

    Wewe fala eti kila mkoa wenye bahari unafaa uwe jiji.Majiji yaliyo karibu na bahari yapo hatarini kupotea miaka ijayo leo unakuja na mada ya bahari ndo jiji hiyo mikoa ya pwani inatosha kuwa wazalishaji na wapokeaji wa mizigo ya bahari majiji yaendelezwe pengine.
  5. Kumbukumbuyatorati

    GE2020 Mgombea Ubunge wa Geita, Upendo Peneza anashikiliwa na Polisi

    Kama unaumia kuwakosa bungeni zile kelele za nileteeni rashidiiiii mlikuwa mnazitoa zanini,bora kukaa kimya kuficha ujinga wako,ww ni mtu mzima lakini akili umekosa sikufichi.Mlitaka bunge la kijani mmepewa bado mnalia au mnahitaji na wanawake wa CHADEMA muwaambukize na UKIMWI.?
  6. Kumbukumbuyatorati

    Kipindi cha Maisha Plus kuanza kuruka tena

    Kama unaumia kuwakosa bungeni zile kelele za nileteeni rashidiiiii mlikuwa mnazitoa zanini,bora kukaa kimya kuficha ujinga wako,ww ni mtu mzima lakini akili umekosa sikufichi.Mlitaka bunge la kijani mmepewa bado mnalia au mnahitaji na wanawake wa CHADEMA muwaambukize na UKIMWI.?
  7. Kumbukumbuyatorati

    GE2020 Aida Khenani (CHADEMA): Siwezi kuwasaliti wananchi wa Nkasi Kaskazini, mimi ni mbunge halali, ninasubiri kuapishwa tu

    Form six failure na form four failure wanafanana? halafu Aida mbona kama una hasira na mimi
  8. Kumbukumbuyatorati

    GE2020 Aida Khenani (CHADEMA): Siwezi kuwasaliti wananchi wa Nkasi Kaskazini, mimi ni mbunge halali, ninasubiri kuapishwa tu

    Hana sehemu ya kuponea zaidi ya ubunge na CCM wamemchagua huyu wakijua hata elimu yake ni haba sana mwaka jana alikuwa form four resetter kwahiyo wanajua hatawasumbua. Huyu dada hana CV hata ya mistari sita.
  9. Kumbukumbuyatorati

    GE2020 Mbeya: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia

    Hicho kituo chenye watu 1000 kakianzisha nani au ndo hewa?
  10. Kumbukumbuyatorati

    GE2020 Twende na Bernard Membe, tuunde Serikali ya kazi na bata! Naomba kura zenu

    Bernad Membe mgombea urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia chama cha ACT kesho anatarajia kufunga kampeni katika mkoa wa Lindi? Hawa kina Bernard mwaka 2020 wamekuwa wana shida sana . Bernad Membe- ndo hivyo tena anataka afunge ambacho hajawahi kukifanya Bernad Morrison-kila mtu...
Back
Top Bottom