Recent content by kukuma

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kesho Azam Tv ataonesha mechi ya CAFCL bure kama kibali alichopewa kinavyosema?

    Vipi wameonesha Bure ?
  2. K

    JamiiForums Tanzania Jiji la Arusha lina watu nadhifu na wasafi kuliko majiji yote

    Mtoaji wa hii thread ulipita tu Arusha mara moja, ujakutana na raia zinakaa huko wanaita ilkidin'ga zinavyotoa harufu za kibeberu na ugoro
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kabla hujaoa Usukumani, zingatia haya ili ndoa yako idumu

    Umeandika ukweli kabisa, wanawake ndio wanachale Sana kila unayemuona kuanzia mgongoni kwa juu, mikononi etc na ishu za waganga pia
  4. K

    JamiiForums Tanzania Tulinyanduana vibaya

    Kwani hauna account Facebook.? Hii ungeichapisha kule ingekuwa unyama Sana. Sijuhi umeandika takataka gani hapo mwenyewe.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Wezi wamevunja na kuiba nyumbani kwangu. Nataka niwakomeshe

    Kweli ushikaji na baadhi ya watu mtaani ni shida, juzi wamepiga TV mbili home ila ni mtu ambaye kazoea Sana hapo home ndiyo amepiga
  6. K

    JamiiForums Tanzania Ni Kazi gani ambazo hutaki mtoto wako aje kufanya.??

    1.Polisi 2.Polisi
  7. K

    JamiiForums Tanzania Msaada wa hii ndoto

    Popo bawa itakuwa alikuja kukusalimia kidogo Samaleko
  8. K

    JamiiForums Tanzania Watu wa Kanda ya Ziwa punguzeni au acheni utaratibu wa kuchanja chale

    Nipo Kanda ya ziwa aisee ulivyoongea ukweli mtupu, nilikuwa nademu mmoja hivi dah chale kuanzia kwenye kope juu, mikononi, mgongoni Hadi kiunoni afu mweupe yule manzi sema nikala nikapita hivi, nikaingiya tinde, isaka, kagongwa, kahama, masumbwe wapi sijuhi runzewe wanawake niliokutana nao...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Wajue Aina ya wateja unaowataka kabla hujafungua biashara yako, itakusaidia

    Naungana na wewe, kunabiashara nilikuwa nafanya zamani nilikuwa sizingatii hili, ikawa bidhaa Bora na Kali nawapelekea makundi yote matatu bhana weee hilo kundi la chini hawatak ubora wao uhitaji kitonga cha bei kwao inamata bhasi nikiwatajia bei wanalia hatari saiv good nilishawasoma...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Unamuona huyu Mwanamke?

    Umeongea kitu kikubwa Sana
  11. K

    JamiiForums Tanzania Epuka kuwa na circle kubwa ya wanawake

    Afu itakuwa ni choko huyo anajiita mshangazi Mchele mchele yaani
  12. K

    JamiiForums Tanzania Kumekucha usaili wa ualimu

    Ww umeona nini Ww umeona nini
  13. K

    JamiiForums Tanzania Tanzania bado ni salama sana na tunapaswa kuvipongeza vyombo vyetu vya ulinzi na usalama

    Hadi Mimi nimesoma title tu dah sijuh ameandika nini kiazi huyu, aliyesoma anisaidia
Back
Top Bottom