Nyie TANESCO nimelipia umeme yangu tarehe 16/11/2021 lakini Hadi leo sijaunganishiwa umeme na mkataba wa maunganisho unasema Kama hapahitaji nguzo Ni siku 30 tu za kazi lakini Hadi leo hii NIPO MKOA WA IRINGA
MAJINA ABASS KASIM BOLOLO
NAMBA YA SIMU 0757093134/0734191974
je kuvunjika kwa ndoa ya kiislamu mkeanahaki ya kugawan mali ikiwa yeye ni mama wa nyumbani na mme ni mtumishi wa serikali na mfano nyumba imejengwa kwa mkopo wa benki dhana ikiwa ni mshahara wa mme....naomba majibu
Msaada wanasheria Mimi nimeoa mke na nikakopa benk hela ya kujengea nimeweka mshahara wangu dhamana je tukiachana tunagawana pasu kwa maana 50-50 waakati huo mkopo haujaisha
Samahan kaka mfano mm mke wangu anataka talaka na tunanyumba ambayo nilikopa pesa benki na kuweka dhamana ya mshahara maana mm ni mtumishi je nikiachana nae nyumba inaweza kiuzwa tukagawana au anaweza kuambiwa abaki kwenye nyumba mimi niondoke na mkopo bado haujaisha wananikata mshahara wangu na...
Samahan kaka mfano mm mke wangu anataka talaka na tunanyumba ambayo nilikopa pesa benki na kuweka dhamana ya mshahara maana mm ni mtumishi je nikiachana nae nyumba inaweza kiuzwa tukagawana au anaweza kuambiwa abaki kwenye nyumba mimi niondoke na mkopo bado haujaisha wananikata mshahara wangu na...
hapo awali walisema wanalipa kulingana na ngazi za mishahara sasa badae wamekuja wanasema wanalipa viwango sawa na pia chakula kukatwa elf 15...ambacho walikuwa wanadai sio chakula chenye thaman ya hiyo pesa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.