Recent content by Kukamido

  1. K

    Chacha Machange: Je ni yule kijana aliyekuwa akiishi kwenye handaki jirani na Mlimani city?

    Tumuombe sana Mungu atujaalie afya njema. Maradhi yanatisha sana.
  2. K

    Arusha nisaidieni kumpata huyu tapeli

    Mkuu Ringo njoo na mrejesho Wa utafutwaji wa bwana aliekutapeli.
  3. K

    MWISHO WA DUNIA umewasili

    Ndivyo ilivyo na huo ndio ukweli,kubali kataa.kila lenye mwanzo halikosi mwisho mkuu.
  4. K

    Kwanini wavuta bangi huongea maneno yenye busara sana?

    Teh teh umenifurahisha sana kuitia chachu hii mada,sasa naona imebalance.
  5. K

    Askari auawa kwa kisu na mtangazaji wa redio

    Rip kamanda na unaweza kuta askari ana mke wake hako kabinti kalikua ni mchepuko tu!kuna vya kujifunza sana kwenye huu uzi.
  6. K

    Taifa Stars Vs Malawi

    Mkuu mechi ya taifa stars na Nigeria uliangalia mpira kweli!unawezaje kusema tulijihami!
  7. K

    Taifa Stars Vs Malawi

    Twendeni mapema tukawasapoti vijana wetu!kwa pamoja inawezekana.
  8. K

    Jamani mwenzenu DSTV imenishinda

    Huu uzi umefuta kabisa hamu yakutaka kua na hii kitu.vibanda umiza vinitarajie sana.
  9. K

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tunamtesa bure Sanchez hii arsenal sio saizi yake.mzee Wenger ameshindwa kabisa kwenye uhamasishaji ukijua huna wachezaji Wa maana basi angalau uwahamasishe zaidi.
  10. K

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Haya waletee!
  11. K

    Samatta aongoza 'mauaji' ya TP Mazembe

    Safi sana jembe endelea kutuwakilisha vyema watanzania.
  12. K

    Kuanzia leo natangaza kuwa na roho mbaya

    Ukitaka uonekane mbaya dai chako!
  13. K

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mzee Wenger hayuko siriasi!ni Liverpool wenyewe ambao nao hawako vizuri kwenye ushambuliaji mechi kama ya Jana na makosa yote aliyoyafanya chambers kama unakutana na timu zenye Mipango ni hatari sana. Mzee anahitaji kununua beki Wa kati pia achilia mbali Streka,Wenger ana moyo wa chuma sana...
  14. K

    Nimemkopesha hela, baada ya kunionjesha tunda kagoma kunilipa

    Hizo ndio gia zawanawake Ndugu,mwanamke akikukopa mfano 100000 kama unania ya kumkopesha ili ulipwe baadae ujue hulipwi ila tafuta 50000 MPE tena muambie hii nakusaidia tu,lasivyo utalipwa mapenzi tu,hawana kawaida ya kulipa wanaume!japo si wote
Back
Top Bottom