Tunamtesa bure Sanchez hii arsenal sio saizi yake.mzee Wenger ameshindwa kabisa kwenye uhamasishaji ukijua huna wachezaji Wa maana basi angalau uwahamasishe zaidi.
Mzee Wenger hayuko siriasi!ni Liverpool wenyewe ambao nao hawako vizuri kwenye ushambuliaji mechi kama ya Jana na makosa yote aliyoyafanya chambers kama unakutana na timu zenye Mipango ni hatari sana.
Mzee anahitaji kununua beki Wa kati pia achilia mbali Streka,Wenger ana moyo wa chuma sana...
Hizo ndio gia zawanawake Ndugu,mwanamke akikukopa mfano 100000 kama unania ya kumkopesha ili ulipwe baadae ujue hulipwi ila tafuta 50000 MPE tena muambie hii nakusaidia tu,lasivyo utalipwa mapenzi tu,hawana kawaida ya kulipa wanaume!japo si wote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.